• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

USHIRIRKIANO WA MWALIMU, MZAZI NA MWANAFUNZI KUKUZA UFAULU WA MWANAFUNZI

Posted on: September 6th, 2019

Licha ya mtoto kuonyesha juhudi zake za kutaka matokeo mazuri katika elimu yake mwalimu na mzazi wanao mchango mkubwa katika kuhakikisha malengo hayo chanya yanafanikiwa kwa mwalimu kuhakikisha anafundisha mada stahiki na kufanya ufatiliaji wa kina kwa kushirikiana na mzazi pamoja na mtoto husika.

Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi wakati wa ziara yake ya siku mbili tarehe 4-5/09/2019 katika ukaguzi wa kambi za kidato za nne zinazoendelea katika shule mbalimbali za sekondari ambapo amesema kuwa hakuna mtoto ambaye hana akili isipokuwa kutofaulu kwa watoto kunatokana na ukosefu wa ushirikiano wa watu watatu ambao ni mwalimu, mwanafunzi na mzazi kwani usimamizi wa kutosha ukifanyika matokeo chanya lazima yatokee ambayo ni ufaulu mzuri kwa wanafunzi.

Aidha katika ziara yake hiyo aliyotembelea ujenzi wa kituo cha afya Malolo, zahanati ya Ruaha na Darajani na ujenzi wa chumba cha radasa shule ya msingi Ruaha Darajani pamoja na shule za sekondari Mikumi, Iwemba na Vidunda amewataka walimu na wakuu wa shule zote kufanya kazi kama timu kwa kufatilia ufundishaji wa kila mmoja kwa lengo la kusaidiana huku akiwasisitiza kuchukua matokeo ya mitihani na majaribio ya watoto kama kipimo cha ufundishaji wao jambo litakalosaidia kujua wapi pa kurekebisha ili kufikia malengo ya wilaya ya kuondoa daraja la nne na sifuri katika mitihani ya kitaifa kwa kidato cha pili na cha nne.

Pamoja na hayo amewataka viongozi wa kata zote kushirikiana na walimu kuwasisitiza na kuhakikisha wazazi wanafika shuleni nyakati za kuchukua ripoti za matokeo ya watoto wao ili kuwa na muda wa kukaa na walimu kujadiliana maendeleo ya watoto wao na kutatua changamoto za kitaaluma zinazowakabili jambo litakalosaidia kuongeza kasi ya ufatiliaji na kumsaidia mtoto.

Sambamba na hayo katika kukabiliana na suala la nishati ya umeme wakati wa usiku kwa ajili ya kambi zilizoko mashuleni Mgoyi ametoa taa za sola kwa shule ya sekondari Vidunda huku diwani wa kata ya Kidodi Mhe. Abdullatif Kaid akiahidi kuweka umeme katika madarasa yasiyopungua matano katika shule ya sekondari Iwemba. 

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa