• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

USULUHISHI WA MIGOGORO YA ARDHI UHUSISHE WAHUSIKA SAHIHI

Posted on: November 12th, 2019

Imeelezwa kuwa miongoni mwa njia sahihi za utatuzi wa migogoro ni kwa kuhakikisha usuluhishi wa migogoro unafanyika kwa kuhakikisha usuluhishi unafanyika kwa kushirikisha kikamilifu wahusika  sahihi wa migogoro kwa kuangalia chimbuko la migogoro ikiwemo kutambua maslahi ya msingi katika mgogoro husika.

Hayo yamebainishwa na Justus Mulokozi mratibu wa mafunzo  kuhusu matumizi ya njia mbadala za utatuzi wa migogoro katika kutatua migogoro ya ardhi Tanzania yanayofanyika wilayani Kilosa kwa siku tano ambapo amesema kuwa asilimia kubwa ya malengo kinzani  ndio yanayosababisha migogoro ardhi ikiwemo  matumizi kwa ajili ya kilimo/mifugo, maeneo kwa ajili ya hifadhi ya wanyamapori au misitu hivyo ni vema usuluhisho wa migogoro ukaangalia zaidi malengo ya migogoro.

Aidha amesema kuwa katika usuluhishi wa migogoro vyanzo vya migogoro katika jamii ni ongezeko la watu, uharibifu wa mazingira, mitizamo ya kisiasa na kiitikadi pamoja na usimamizi /mgawanyo mbaya wa rasilimali mambo ambayo yasiposimamiwa vema ni mwanya wa uwepo wa migogoro.

Pamoja na kueleza chanzo cha migogoro Mulokozi amesema ni vema viongozi wa mabaraza ya ardhi katika kata na vijiji hasa upande wa migogoro ya ardhi wanaposuluhisha migogoro wanapaswa kutafuta chimbuko la migogoro na kuhakikisha katika usuluhishaji  madalali hawahusiki na badala yake migogoro hiyo ihusishe wahusika halisi.

Mulokozi amesema licha ya migogoro kuwa na faida kwa baadhi ya watu lakini pia zipo athari zinazotokana na migogoro ikiwemo vifo vinavyopelekea watu kuwa uhamishoni, majanga ya njaa ambayo kwa asilimia kubwa hutokea kutokana na jamii husika kutojikita katika uzalishaji/kilimo na badala yake muda mwingi hutumika katika migogoro, uharibifu wa mali na miundombinu ya maendeleo na kuzuia maendeleo ambapo ardhi inayogombewa inasimamishwa matumizi ya kimaendeleo hadi hapo mgogoro utakapotatuliwa na kufanyika maamuzi stahiki.

Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Kilosa kufanya sensa ya mifugo

    December 29, 2022
  • Kilosa kunufaika na mradi wa BOOST

    December 24, 2022
  • Kilosa yaendelea kutambua juhudi za Serikali kwa Watumishi wa Umma na Wananchi-DED Kilosa

    December 19, 2022
  • -Serikali haitosita kulinda Rasilimali watu kwa maslahi ya Maendeleo ya Taifa- Mh. Mhagama

    December 20, 2022
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737-847-880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa