• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

UVAMIZI WA TEMBO KATIKA MASHAMBA YA WAKULIMA KATA YA MHENDA YAATHIRI MAZAO YA BIASHARA NA CHAKULA

Posted on: February 28th, 2025

Katika kikao cha kawaida cha Baraza la Madiwani  kwa Kipindi cha  robo ya pili kuanzia Oktoba hadi Disemba kwa mwaka wa fedha 2024/2025 kilichofanyika 27 Februari, 2025 hoja ya uvamizi wa tembo katika mashamba ya wakulima wa Kata ya Mhenda imeibuliwa na kutolewa  mapendekezo.

Akitoa hoja hiyo katika kikao hicho Diwani wa Kata ya Mhenda Mhe. Japhet Nestory Kageuka, amesema kuwa Tembo wamesababisha madhara makubwa kwa wakulima, ambapo jumla ya hekari 80 za mashamba zimeharibiwa na wakulima 23 wameharibiwa mazao ya biashara na chakula.

Mhe. Kageuka ameongeza kuwa uvamizi wa tembo katika vijiji vilivyozunguka kata hiyo umeleta hasara kubwa kwa wakulima na kwamba hali hiyo imeleta changamoto kubwa kwa wakulima ambao sasa wanakosa tija kutokana na uharibifu wa mazao yao ambapo inahitajika kuangaliwa kwa makini ili kupunguza athari kwa wananchi.

Aidha Diwani Kageuka ametoa mapendekezo kwa serikali ya wilaya ya Kilosa kuhusu namna ya kukabiliana na tatizo hilo ambapo ameiomba serikali kutuma wataalamu wa wanyamapori ili kutoa elimu kwa wakulima kuhusu jinsi ya kulinda mashamba yao kutokana na uvamizi wa tembo huku akisisitiza umuhimu wa kuwapa mafunzo vijana wa eneo hilo ili waweze kuchukua hatua za haraka pindi tembo wanapovamia mashamba.

Pia Mhe. Kageuka  ameiomba serikali kutoa fidia kwa wakulima 23 ambao mashamba yao yameharibiwa na tembo ambapo fidia hiyo itasaidia kurudisha morali kwa wakulima na kuwapa ahueni katika kipindi hiki kigumu cha uharibifu wa mazao yao na kwamba mfumo wa fidia kwa wakulima ili kuhakikisha kuwa wanapata msaada pale wanapokumbwa na majanga ya aina hiyo.

Akijibu hoja hiyo, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa, Mhe. Hassan Mkopi, amekiri kuwa tatizo la uvamizi wa tembo katika maeneo ya vijijini ni changamoto kubwa huku akisema kuwa menejimenti ya Halmashauri imepokea hoja hiyo kwa umakini na itachukua hatua stahiki.

Kwa upande mwingine Mwenyekiti wa Halmashauri Wilfred Sumari amemshukuru Rais kwa kuipatia kilosa miradi mikubwa ya maendeleo ikiwemo mradi wa maji wenye thamani ya shilingi milioni 150 ambapo mkataba wake umesainiwa hivi karibuni pamoja na kufufua kiwanja cha ndege chenye urefu wa kilomita 5.4 miradi hiyo itawasaidia wananchi kujikwamua kiuchumi.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa