• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

UWEPO WA MIKATABA YA USIMAMIZI SHUGHULI ZA LISHE

Posted on: October 30th, 2019

Imeelezwa kuwa hali ya kiwango cha udumavu kutokana na hali duni ya lishe na udumavu kwa watoto chini ya miaka mitano nchini ambayo ni mbaya  Mheshimiwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan aliagiza kuwepo kwa mkataba wa usimamiaji wa shughuli za Lishe kati yake na Wakuu wa Mikoa yote 26 ya Tanzania Bara lengo ikiwa ni kuongeza chachu ya usimamizi ili kuondokana na hali hiyo.

Hayo yamebainisha Oktoba 29 mwaka huu na mratibu wa lishe Wilaya Zaina Kibona wakati wa kikao cha tathmini ya utekelezaji wa mkataba wa utendaji kazi na usimamizi wa shughuli za llishe ambapo amesema kuwa hali ya udumavu kwa mkoa wa Morogoro si nzuri hivyo watendaji wa kata na vijiji ni miongoni mwa wadau ambao wanaweza kuongeza nguvu katika usimamizi wa shughuli za lishe katika maeneo yao ili kuleta mabadiliko chanya, ambapo katika kikao hicho walipata uelewa wa namna mikataba hiyo sambamba na usimamizi utakaokuwa ukifanyika katika maeneo ya kazi kwa kushirikiana na wataalam mbalimbali katika kata kuhakikisha wananchi wanapata elimu juu ya lishe hali itakayopelekea kupunguza udumavu.

Akibainisha maeneo ya vipaumbele Kibona amesema miongoni mwa maeneo hayo ni Kutengwa fedha za kutekeleza shughuli za lishe (1000 kwa kila mtoto chini ya miaka  mitano, Kuandaa mpango wa kimkakati wa Lishe wa Mkoa, Utendaji kazi wa kamati za Lishe, Usimamizi shirikishi, Kusimamia ubora na usalama wa chakula, Utoaji wa nyongeza ya matone ya Vitamin A, Utoaji wa vidonge vya kuongeza wekundu wa damu (FeFo) kwa wajawazito, Kuboresha ulishaji wa watoto wachanga na wadogo na Matibabu ya Utapiamlo

 Sambamba na kupata uelewa wa mikataba hiyo watendaji hao walijaza mikataba hiyo huku wakitoa rai ya kutolewa elimu ya afya na lishe bora toka kwa wataalam lakini pia wameshauri kutengwa kwa bajeti ili kuwawezesha kushiriki vizuri katika zoezi hilo la utoaji elimu ya lishe kwa kuwezeshwa kutembelea maeneo mbalimbali katika kata zao ikiwemo kupata usafiri kufikia maeneo mbalimbali katika vijiji

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa