• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

VIJANA 22 WILAYANI KILOSA WANUFAIKA NA MRADI WA SUMUKUVU

Posted on: August 14th, 2023

Vijana 22 kutoka maeneo mbalimbali Wilayani Kilosa wamekabidhiwa vifaa chuma vyenye thamani ya shilingi milioni moja na nusu kwa kila mmoja bure na Wizara ya kilimo kwa kushirikiana na VETA kupitia Mradi wa SUMUKUVU kwaajili ya kutengenezea vihenge vya kuhifadhia nafaka lengo likiwa ni kumsaidia  Mkulima kupata nyenzo sahihi ya kuhifadhia nafaka mara baada ya mavuno,na pia kujiajiri wao wenyewe

Hayo yameelezwa na Mhandisi Jeseph Kivako ambaye ni Afisa Ufuatiliaji na Tathmini ya mafunzo,  na pia Mratibu wa Sumukuvu VETA katika kikao cha kukabidhi vifaa hivyo  Agosti 11 ,2023 ambapo amesema kuwa VETA imeingia makubaliano na Wizara ya Kilimo kwa lengo la kushirikiana kufundisha vijana kuondoa athari za Sumukuvu kwenye mazao ya nafaka hususan Mahindi na Karanga.

Mhandisi Kivako amesema kuwa Sumukuvu inapatikana kabla na baada ya kuvuna huku kukiwa  vipengele viwili vikubwa ambavyo ni  uhifadhi na ukaushaji wa mazao ambapo amefafanua kuwa Mradi huo umejikita katika uhifadhi wa  nafaka hivyo  Wizara ya Kilimo kupitia mradi wa Tanpack pamoja na kujenga Maghala makubwa pia wameona  umuhimu wa wakulima wa kawaida kupata nyenzo sahihi ya kuhifadhia nafaka ambayo ni vihenge vya chuma.

Kivako amesema kwa kuzingatia hilo VETA imetoa mafunzo kwa vijana 420 kutoka Tanzania bara na visiwani na kuwatunukiwa Vyeti ambapo kati yao vijana 22 wametoka Wilayani Kilosa na kwamba mafunzo hayo yatawasaidia kutambulika,pia yatawawezesha  kuwasaidia wakulima kwa kuwaelimisha juu ya faida ya uhifadhi nafaka kapitia  Vehenge vya chuma,na ni matumaini yao kuwa kundi hilo litaenda kutengeneza fursa za ajira katika maeneo yao kupitia vifaa hivyo walivyopewa.

Akizungumza wakati wa kukabidhi vifaa hivyo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Kisena Mabuba amesema kuwa Teknolojia hiyo ya uhifadhi wa nafaka kwa kutumia Vihenge hivyo itatoa suluhu ya tatizo la Sumukuvu katika mazao,hivyo  amewataka vijana hao kufanya kazi kwa bidii na pia kutumia vifaa hivyo kwa malengo yaliyokusudiwa na pia waweze kutoa ujuzi huo kwa vijana wengine katika maeneo yao

 

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa