• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Vijana waaswa kuwa chachu na mfano bora wa kuigwa katika jamii

Posted on: June 15th, 2022

Wito umetolewa kwa vijana walio chini ya mradi wa OYE kuwa chachu katika jamii kwa kuonyesha namna walivyobadilika kupitia fursa waliyoipata na kuwa viongozi wakuleta chachu ya kuhamasisha jamii kuachana na tabia potofu.

Wito huo umetolewa na Kaimu Katibu Tawala Mkoa Morogoro Flora Yongolo ambapo amesema Serikali inashirikiana na taasisi mbalimbali kuboresha maisha ya watu ambapo amewasisitiza kufanya juhudii kwani wana nafasi na mafanikio huku akiwataka kupanga kufika mbali kwani inawezekana endapo watafanya juhudi.

Akizungumzia suala la mitaji Yongolo ameishauri Halmashauri kupitia mikopo inayotolewa kwa vijana kuangalia vikunmdi ambavyo vina sifa kuvipa kipaumbele na kuhakikisha vinafanya yaliyokusudiwa huku akiwataka vijana hao watakapowezeshwa kuendeleza mitaji waliyonayo jambo litakalowasaidia kuendelea kuaminiwa ambapo pia ameahidi kuzibeba changamoto walizobainisha kwa ajili ya utekelezaji.

Akieleza namna mradi wa OYE unafanya kazi Meneja Mradi Herman Hishamu amesema mradi huo unafanya kazi katika kata zaidi ya kumi katika ya Wilaya ya Kilosa na unalenga kuimarisha uchumi wa vijana na mazingira wezeshi ya kibiashara ambapo wamefundishwa stadi za maisha  na kuunganishwa na taasisi mbalimbali lengo likiwa kuwakwamua na kuwawezesha kujiajiri wenyewe ambapo wanafanya shughuli mbalimbali ikiwemo kilimo cha mboga mboga na alizeti, ufugaji kuku, nishati, utengenezaji majiko banifu na shughuli nyinginezo ambapo kupitia hizo vijana wamekuwa wakipatia fedha za kujikwamua na kukidhi mahitaji yao.

Kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa, Afisa Maendeleo ya Jamii Simforosa Mollel ameushkuru uongozi wa SNV na MJUMITA kwa namna wamekuwa msaada kwa vijana kuwawezesha katika stadi za maisha huku akiwataka vijana hao kuendelea kutumia fursa zinazojitokeza kwa kuzifanyia kazi  ambapo amewasisitiza kuwatumia maafisa mbalimbali walioko katika maeneo yao ili kufikia malengo yao hususani maafisa maendeleo ya jamii, kilimo na mifugo lakini pia amebainisha kuwa fursa ya kupata mikopo ipo kwani tayari wanajua nini wanahitaji kufanya kutokana na stadi walizopata.

Wakisoma risala yao vijana walio chini ya mradi wa OYE wamesema mradi ulitoa mafunzo ya nadharia katika nyanja ya stadi za maisha,ujasiriamali,mpango wa fedha, uundaji katiba na vikundi mambo ambayo yamekuwa msaada kwao na kuwabadilisha toka kuwa bora vijana na kuwa vijana bora kwa kuwawezesha kubadilika kimtazamo na kujikwamua kiuchumi kwani kwa sasa wanafanya shughuli mbalimbali ikiwemo kufuga kuku, kilimo cha bustani na matunda, kupanda miti, kutengeneza majiko banifu, kusambaza sola za sanking na kuweka hisa ambapo wanajipatia fedha za kujikimu lakini pia wamekuwa msaada kwa vijana wengine walio nje ya mradi wa OYE. Ambapo wamebainisha changamoto zinazowakabili ni ukosefu wa mashine na mipira ya umwagiliaji, mashine ya kutotoleshea mayai na wataalam wa mifugo, masoko na mitaji.

                                                                                     Diwani wa Kata ya ya Ulaya Mh. Kibati


Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • DC MAJID AAHIDI KUTATUA CHANGAMOTO YA UHABA WA MADAWATI

    June 22, 2022
  • Wazazi wasisitizwa kuwalinda watoto kwa kuhifadhi chakula chakutosha

    June 17, 2022
  • Vijana waaswa kuwa chachu na mfano bora wa kuigwa katika jamii

    June 15, 2022
  • Kuchangia ujenzi wa zahanati kwa kutumia kuku

    June 14, 2022
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu:

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa