• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

DC KILOSA APIGA MARUFUKU MICHANGO HOLELA ISIYO NA KIBALI

Posted on: October 20th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Mh. Majid Mwanga amewataka viongozi katika Kata na vijiji kuhakikisha michango yote inayochangishwa katika maeneo yao inakuwa na kibali kutoka kwa Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi Mtendaji kwani kumekuwa na hulka ya baadhi ya viongozi kuchangisha michango kiholela bila kufuata taratibu za upatikanaji wa kibali.

Mwanga ametoa rai hiyo wakati alipozungumza na wananchi wa kijiji cha Kitunduweta katika kata ya Mhenda ambapo amesema kuwa kumekuwa na baadhi ya viongozi wamekuwa wakikiuka taratibu za uchangishaji michango jambo ambalo si sahihi huku akitaka michango iliyokuwa inaendelea kwa ajili ya ujenzi wa shule ya sekondari katika kata ya Mhenda kusimama mara moja kwani tayari Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ameshatoa shilingi milioni 600 kwa ajili ya shule ya sekondari, hivyo hakuna haja ya mchango huo kuendelea ambapo amesisitiza kuwa hakuna michango inayozuiwa endapo itafuata taratibu za kupata kibali.

Aidha amekipongeza Kijiji cha Kitunduweta kwa namna kilivyoweza kuhifadhi vyema msitu wa kijiji uliopo katika hali ya uendelevu licha ya shughuli za uvunaji mkaa kuendelea lakini kupitia elimu na uwezeshwaji kutoka MJUMITA na TFCG msitu huo umekuwa katika hali ya uendelevu huku akitoa rai kwa TFCG kutafuta fedha kwa lengo la kufanya oparesheni maalum ya  kurejesha msitu wa Ukwiva ili urejee katika hali yake ya zamani.

Akizungumzia suala la ulimaji bangi amesema wapo baadhi ya viongozi na wananchi wamekuwa wakishiriki katika kilimo cha bangi ambacho hivi karibuni Kamati ya Ulinzi na Usalama ilifanya oparesheni maalum katika misitu wa Ukwiva ambao umeharibiwa sana hususanivyamvyo vya maji ambavyo vimeharibiwa kwa kiasi kikubwa huku shughuli za kibinadamu zikiendelea ikiwemo kilimo cha bangi.

 Mwanga amesema katika operesheni hiyo kamati ya ulinzi na usalama ilifanikiwa kuteketeza zaidi ya heka kumi za zao la bangi ambapo tayari wahusika wameshakamatwa na kuchukuliwa hatua huku akisema kuwa lengo la operasheni hiyo kupambana na madawa ya kulevya ya aina mbali ni sehemu ya kutekeleza agizo la Mheshimiwa Rais katika kupambana na madawa ya kulevya na kwamba kilimo hicho katika Wilaya ya Kilosa hakikubaliki hata kidogo kwani ulimaji bangi umekua ukichangia kwa kiasi kikubwa kuharibu vijana ambao ni taifa la kesho.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa