• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

VIONGOZI TARAFA ZA MASANZE, ULAYA NA KIMAMBA WAJADILI UTATUZI WA MIGOGORO

Posted on: August 29th, 2019

Agosti 28 mwaka huu Katibu Tawala Wilaya Yohana Kasitila ametoa wito kwa viongozi wa vitongoji, vijiji na kata kuzisimamia vyema sheria ndogo za hifadhi ya mazingira za Halmashauri kwani kwa kufanya hivyo itasaidia kwa kiwango kikubwa kuepusha migogoro ambayo imekuwa ikijitokeza mara kwa mara kutokana na kutosimamia vema kwa sheria hizo.

Kasitila ametoa wito huo katika kikao cha viongozi wa tarafa za Masanze, Ulaya na Kimamba ili kujadili utatuzi wa migogoro ya wakulima na wafugaji ambapo amewataka viongozi hao kuhakikisha wanazisimamia sheria hizo na kutoa elimu kwa wananchi  juu ya sheria ndogo za Halmashauri ili kuepusha migogoro.

Naye mwanasheria Daniel Mwamlima amesisitiza utolewaji elimu juu ya sheria hizo kwa wananchi kwani kwani wao ndio watumiaji wakubwa wa sheria hizo kwani endapo wananchi watazitambua sheria na kuzifanyia kazi wataepukana na migogoro ikiwemo kuhakikisha mifugo kutozurura hovyo na kufanya uharibufu ambao utapelekea uwepo wa faini sambamba na uhifadhi wa mazingira na kutunza vyanzo vya maji.

Afisa wa TAKUKURU Bw Msigwa amesisitiza viongozi hao kusimama katika nafasi zao  na kuepuka vitendo vya rushwa  sambamba na kusimamia kuundwa/kuhuishwa kwa kamati za amani pamoja na za ulinzi na salama ambazo zinawajibu wa kushughulikia migogoro inayojitokeza vijijini.

Kamanda wa polisi  Mapalala amesisitiza kamati za ulinzi na usalama vijijini kufanya kazi inavyostahili lakini pia amesisitiza kuwepo kwa ushirikiano katika utendaji kazi.

Afisa utumishi Noel Abel amewataka viongozi hao kuzingatia utawala bora na kutatua changamoto kwa kufuata ngazi husika  lakini pia kuimarishwa kwa kamati za ulinzi na usalama.

Baada ya majadiliano katika kikao hicho Mkuu wa idara ya mifugo dkt. Yuda amesisitiza kila kijiji kuwa na mwongozo wa namna ya kukabiliana na migogoro, kila mtendaji wa kata/kijiji awe na sheria ndogo za halmashauri, uwepo wa doria za mara kwa mara, kuwepo kwa ubainishwaji wa njia za kupitisha mifugo ambazo hazipasi kufungwa ama kulimwa.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa