• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

VIONGOZI WA DINI WATAKIWA KUSHIRIKI UTATUZI WA CHANGAMOTO

Posted on: June 28th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Alhaji Majid Mwanga ametoa rai kwa viongozi wa dini kuendlea kuhubiri amani katika nyumba za ibada huku wakiendelea kuvumiliana wakati uongozi ukiendelea kufanyia kazi changamoto mbalimbali zilizopo ndani ya wilaya.

Mwanga ametoa rai hiyo alipokuwa akizungumza na viongozi wa madhehebu ya dini zote Kilosa ambapo amesema ili kukabiliana na changamoto ni wajibu wa kila kiongozi kutafuta majawabu ya changamoto hizo kwa kuwa na uongozi wa pamoja huku akisema endapo zitapatiwa majawabu hakutakuwa na mabango, huku akisisitiza viongozi hao kuzungumzia mazuri na vivutio vilivyopo ndani ya wilaya ili kuvutia wawekezaji jambo litakalosaidia upatikanaji wa ajira kwa vijana waliopo Kilosa.

Akizungumzia suala la ulinzi amesema ulinzi uko katika maeneo mbalimbali ambapo kwa upande wake amesema kila mmoja analo jukumu la kumlinda mtoto wa kike ambaye kwa asilimia kubwa anakumbana na changamoto mbalimbali ambazo zinaweza kupelekea kutofikia ndoto zake, hivyo anapaswa kuwezeshwa kujitambua, kujiamini na kujithamini, huku upande wa vijana akisisitiza walindwe dhidi ya madawa ya kulevya pamoja na kukemea utoro mashuleni.

Kwa upande wa mashamba yaliyofutwa amesema upo utaratibu unaoendelea kufanyika hivyo wasiwe na wasiwasi kwani baada ya taratibu stahiki kukamilika mchakato wa ugawaji utakuwa wa wazi bila kificho huku akiahidi kufanya ziara za kutembelea vijiji vyote na kukutana na viongoz ili kuweka mkakati na kujenga uelewa wa pamoja lengo ikiwa ni kufanya kazi kwa pamoja kwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu huku wakimtanguliza Mwenyezi Mungu.

Miongoni mwa changamoto zilizobainishwa na viongozi hao wa dini ni migogoro ya wakulima na wafugaji jambo linalopelekea hali ya uzalishaji na kipato kushuka, kukosa uendelevu wa maeneo muhimu, kutokarabatiwa tuta la mto Mkondoa, uhaba wa mashamba, kutopatikana kwa zaka ya kutosha katika nyumba za ibada kutokana na waumini kushinda mashambani kwa kuhofia kulishiwa mashamba yao na wafugaji wakiwa nyumba za ibada, wakulima kupigwa na wafugaji pamoja na migogoro ya ardhi.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa