• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

VIONGOZI WAASWA KUHAMASISHA WANANCHI UMUHIMU WA LISHE BORA

Posted on: August 31st, 2024

Katika hali ya kukabiliana na lishe duni kwa watoto wachanga na wanafunzi, Wahe. Madiwani na viongozi wote kuanzia ngazi ya kata, vijiji na vitongoji wametakiwa kuhimiza ulaji sahihi kwa watoto ikiwemo shuleni ili kuongea kiwango cha ufaulu kwa wanafunzi pamoja na kupunguza udumavu.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Mhe. Wilfred Sumari Mhe. Sumari ameyasema hayo hivi karibuni katika Mkutano wa baraza la Madiwani lililofanyika katika ukumbi wa FDC Ilonga ambapo amewataka viongozi hao kutoa elimu kwa wananchi katika maeneo yao.

Kwa Upande mwingine katika baraza la mwaka la Madiwani limefanya uchaguzi wa kumpata makamo mwenyekiti wa halmashauri ya Wilaya ya Kilosa ambapo makamo kwenye kiti aliyemaliza muda wake Mhe. Hassan Mkopi amefanikiwa kuchaguliwa tena kwa zaidi ya 90% ya kura zote zilizopigwa na hivyo kuendelea kushika nafasi hiyo ambapo baada ya kutangazwa mshindi Mhe. Hassan Mkopi amewashukuru Madiwani kwa kumchagua na kumuamini tena kuwa makamo mwenyekiti.

Vilevile Baraza hilo la Mwaka limeweza kufanya uteuzi wa wajumbe wa kamati za kudumu za halmashauri ya wilaya ya Kilosa.

Tangazo

  • TANGAZO LA MAFUNZO YA UDEREVA WA MAGARI, PIKIPIKI NA BAJAJI September 30, 2025
  • TANGAZO LA TOZO September 10, 2025
  • TANGAZO LA KUKODISHA MASHAMBA YA HALMASHAURI September 11, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA DARASA LA SABA November 23, 2023
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • WATUMISHI KILOSA WAJENGEWA UWEZO WA MATUMIZI YA MFUMO WA NEST

    October 09, 2025
  • WATUMISHI KILOSA WAHIMIZWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUFANYA MAZOEZI YA MWILI KILA JUMAMOSI YA WIKI

    October 04, 2025
  • DC SHAKA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI KATA YA TINDIGA

    October 08, 2025
  • WANANCHI WILAYANI KILOSA WAHIMIZWA KUFANYA UCHUNGUZI WA AWALI WA SARATANI YA MATITI

    October 01, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa