• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

VIONGOZI WAMETAKIWA KUSIMAMIA HAKI ILI KUEPUSHA MIGOGORO

Posted on: October 27th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Mhe. Shaka H. Shaka amewataka viongozi wa ngazi mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya Kilosa kutimiza wajibu na kutenda haki ili kulinda maslahi ya Wananchi na kusisitiza kuwa Serilkali haitamvulia kiongozi yeyoteambaye atashindwa kusimamia upatikanaji wa haki.

Mhe. Shaka ameyasema hayo 26 Oktoba, 2023 wakati akiongea na Wananchi wa kata ya Kimamba B katika mkutano wa hadhara uliolenga kujadili shughuli za maendeleo na  kusikiliza  changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi wa eneo hilo ambapo amebainisha kwa kusema kuwa changamoto za migogoro ya ardhi na ya Wakulima na wafugaji kwa asilimia kubwa zimetokana na baadhi ya viongozi wa vitongoji na vijiji kutotimiza wajibu wao.

Aidha amesema kuwa migogoro inaongezeka Wilayani hapa kutokana na viongozi kukiuka maadili na kutotenda haki hivyo ameonya kuwa kila kiongozi aliyepewa dhamana anawajibika kuwa mstari wa mbele kutetea maslahi ya wananchi kwa kusimamia haki.

Amewataka baadhi ya Viongozi wenye tabia ya kupokea rushwa ili kutoa upendeleo flani kuacha mara moja kwani ni ukiukwaji wa Sheria na pia ni chanzo cha migogoro ambayo inaonekana kukithirikatika maeneo mbalimbali Wilayani hapa na kusisitiza kwamba Serikali haitasita kuchukua hatua kali kwa atakayebainika kufanya hivyo.

Sambamba na hayo amewaonya baadhi ya wafugaji wenye tabia ya kulishia mifugo kwenye mashamba ya Wakulima na kutembeza mifugo hovyo katika maeneo ya mijini kuacha mara moja kwani hiyo inachochea vurugu,migogoro na uvunjifu wa amani.

Kwa upande wake mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Costantine Nzila amewasisitiza wananchi kufuata sharia na taratibu zilizowekwa ili kuepuka migogoro ambayo kwa kiasi kikubwa inarudisha nyuma shughuli za maendeleo na pia kuleta uvunjifu wa amani.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa