• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

WAANDIKISHAJI WASIDIZI DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA WAPIGWA MSASA

Posted on: February 2nd, 2020

Waandikishaji wasaidizi wametakiwa kufanya kazi kwa uaminifu kwani wao ni sehemu ya tume katika kipindi cha uandikishaji hivyo wafanye kazi ya uandikishaji kwa uaminifu na uadilifu ambapo wanapaswa kuhakikisha zoezi linafanyika kwa usahihi na kwamba Tume ya Taifa ya Uchaguzi iko pamoja nao na kushirikiana  nao kwa ukaribu.

(JAJI MTSAAFU) KAMISHNA WA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI MARY H.C.S LONGWAY AKITOA RAI KWA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI

Rai hiyo imetolewa Februari 01 mwaka huu wakati wa mafunzo kwa waandikishaji na Jaji Mstaafu Kamishna wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Mary H.C.S. Longway kwa waaandikishaji wasaidizi na BVR Operators katika kutekeleza kazi ya uandikishaji  amewataka kuwa waadilifu, wasikivu na uaminifu wa hali ya juu ambapo amesema uadilifu, usikivu na umakini katika kazi ya uandikishaji utasaidia kutoharibu daftari la kudumu la wapiga kura hivyo ni vema wakatambua kuwa wanafanya kazi kwa niaba ya Tume na kwamba Tume inawaamini na inawategemea.

Pia amewataka kutambua kazi ya uandikishaji ni kazi ya kipekee kwani wanawafikia watu wengi kwa kuhakikisha kila anayestahili kuandikishwa anafanya hivyo lakini pia kuwa mabalozi wazuri katika maeneo yao kwa kuwajulisha watu wanaoishi nao juu ya zoezi linaloendelea ili wapate haki ya kikatiba ya kujiandikisha  na kupiga kura wakati wa uchaguzi mkuu  ambapo pia amewataka kuanza kazi kwa wakati kwa kuanza kazi saa mbili kamili asubuhi na kufunga zoezi saa  kumi na mbili jioni.

Usikivu na uadilifu na umakini katika uandikishaji ni muhimu hivyo ni vema ikazingatiwa katika uandikishaji wa majina na taarifa za watu kwa usahihi lakini pia kuwa makini katika na kuhakikisha mashine zinakuwa katika hali nzuri ikiwemo kuhakikisha picha za wateja zinaonekana vizuri kwani sura na ndiyo inayohitajika zaid kwa ajili ya utambulisho. Kamishna amesisitiza.

 Pamoja na hayo amewataka kuwa makini katika utunzaji wa vifaa vya uandikishaji ikiwemo mashine ya BVR , fomu zote za uandikishaji kwani gharama zake ni kubwa hivyo vinapaswa kutunzwa na kuwa na uangalifu mzuri katika matumizi na kuvitunza lakini pia amewataka kufanya kazi kwa ushirikiano pindi wawapo katika vituo vyao vya kazi.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa