• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Wafugaji watakiwa kufuga kwa tija

Posted on: January 27th, 2023

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mh. Mashimba Ndakiamewataka wafugaji kubadilika kwa kuacha ufugaji wa mazoea kwa kutegemea ardhi ya kuhama hama na badala yake wawe na eneo la kufugia mifugo yao  ambalo litakuwa linatambulika kisheria.

Mh. Ndaki amesema hayo Januari 26, 2023 katika kata Madoto na Ulaya  katika ziara ya kikazi ambapo amewataka wafugaji kuacha tabia ya kulishia mifugo katika mashamba ya wakulima jambo linalopelekea migogoro isiyoisha baina ya wakulima na wafugaji.

Sambamba na hayo amewataka wafugaji na wakulima kushirikiana katika shughuli zao na kuacha kuvutana kwani kufanya hivyo itapelekea kurudisha maendeleo nyuma.

Naye Mbunge wa Jimbo la Kilosa Mh. Palamagamba Kabudi amesema Wilaya ya Kilosa ni kubwa ikiwa na shughuli nyingi za kiuchumi, hivyo ni vema yakatengenezwa mazingira ya kuwasaidia wafugaji kupata mafunzo kupitia taasisi zilizo chini ya Wizara ya Mifugo ili ziweze kutoa mafunzo kwa wafugaji na  kuwahamasisha kufuga kisasa kwa kunenepesha mifugo ili iweze kuleta tija,lakini pia upo uhitaji mkubwa wa malambo na majosho ya mifugo ili waweze kupata maji kwa ajili ya mifugo sambamba na mafunzo ya ufugaji wa kibiashara.

Aidha ameiomba Wizara ya Mifugo kuwahamasisha wafugaji kulima pamoja na kufuga kisasa ili mifugo iweze kuwa na kiwango kizuri cha ushindani wa soko lakini pia kuwahamasisha wananchi juu ya ufugaji wa samaki jambo litakalosaidia wananchi kujiongezea kipato  huku Mwenyekiti wa Hamashauri ya Wilaya ya Kilosa Mh. Wilfred Sumari akiuomba vitalu vya lanchi ya Narco vilivyogawiwa kwa wawekezaji lakini haviendelezwi kurudishwa kwa wananchi ili wapatiwe kwa ajili ya shughuli za ufugaji.

Kwa upande wake Mkuu wa Divisheni ya Kilimo na Mifugo amemshkuru Mh. Waziri kwa kufika Kilosa ambapo amesema wafugaji na wakulima wanatakiwa kufuga kibiashara kwa kufuga mifugo yenye tija kwenye soko kila ndani na nje ambalo litaendana na mabadiliko ya tabia nchi.

Dkt. Yuda amesema kwa sasa maeneo ya malisho yamezidi kupungua hivyo wajitahidi kuwa na maeneo ambayo yatasaidia kwa ajili ya malisho ili kuondoa ama kupunguza migogoro isiyo ya lazima ili kufanya maendeleo.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa