• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

WAGANGA WAFAWIDHI WATAKIWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO KWA WELEDI

Posted on: September 13th, 2024

Waganga Wafawidhi Wilayani Kilosa wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa weledi ili waweze kuboresha utendaji kazi wao ikiwa ni pamoja na kutoa huduma bora kwa wananchi.

Rai hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Mhe. Wilfred Sumari wakati akizungumza na Waganga Wafawidhi katika kikao cha kuwajengea uwezo waganga hao kilichofanyika Septemba 13, 2024 katika ukumbi wa Maktaba yaHospitali ya Wilaya ya Kilosa.

Mhe. Sumari amewataka Waganga hao kufanya kazi kwa ushirikiano na kusaidiana katika kutatua changamoto zinazojitokeza wakati wa utekelezaji wa majukumu yao.

Ameongeza  kuwa serikali ya awamu ya sita imeleta fedha nyingi katika Halmashauri ya wilaya ya Kilosa kwa lengo la kutekeleza miradi ya maendeleo na kusisitiza kuwa kuna haja ya kushirikisha ngazi zote za uongozi kuanzia uongozi wa  kijiji na wataalamu wote katika usimamizi na utekelezaji wa miradi ya maendeleo hususan miradi ya afya ili iweze kukamilika kwa wakati ili kukidhi mahitaji ya wananchi.

Pia Mhe.Sumari amebainisha kuwa ukusanyi wa fedha bila kuingiza kwenye mfumo husika ni kosa la jinai hivyo, amewasihi watumishi hao kufuata sheria, kanuni na taratibu za serikali katika kusimamia ukusanyaji wa mapato.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Ndg. Michael J Gwimile amewataka Waganga hao wa vituo kusimamia suala zima la ukusanyi wa mapato na kuwakumbusha kuwa ni wajibu wa kila mtumishi kushiriki katika kukusanya mapato.

Sambamba na hayo, Ndg. Gwimile ameeleza kuwa ni vyema kushirikishana katika changamoto mbalimbali zinazojitokeza  ili ziweze kutatuliwa kwa wakati ili kuboresha  na kutoa huduma bora kwa wananchi katika sekta ya hiyo ya afya.

Tangazo

  • TANGAZO LA MKUTANO WA BARAZA LA WAHE. MADIWANI May 22, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • WAUGUZI WATAKIWA KUWA WAADILIFU MAHALI PA KAZI

    May 30, 2025
  • WAHE. MADIWANI WAISHUKURU SERIKALI YA AWAMU YA SITA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    May 30, 2025
  • KILOSA YAJIPANGA KUTATUA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI

    May 28, 2025
  • VITENGO VYA HABARI SERIKALINI VIIMARISHWE KWA KUFANYA MAWASILIANO YA KIMKAKATI

    May 24, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa