• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Wahudumu wa afya waaswa kutoa huduma kwa wito ili kuvuna baraka

Posted on: December 16th, 2021

Wito umetolewa kwa waganga wafawidhi na watoa huduma za afya kiujumla kutambua kazi yao ni wito hivyo wanapaswa kutoa huduma nzuri  kwa wananchi wanaowahudumia ili kuepuka malalamiko na kutosababisha laana katika maisha yao na wajikite katika kutoa huduma nzuri ili kuvuna baraka.

Kisena Mabuba ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa ametoa wito huo wakati akifungua kikao cha waganga wafawidhi na watumishi wa afya toka katika Hospitali ya Wilaya , Vituo vya afya na Zahanati ambapo amewataka kutambua kuwa kadri wanavyotoa huduma nzuri ndivyo wanavyosomeka vizuri na kupata baraka.

Mabuba amewakumbusha wahudumu hao kutambua wao ni viongozi ambao wanapaswa kuwa mfano kwa wengine katika utoaji huduma ambapo amesema kiongozi mzuri ni yule anayeongoza wengine katika njia sahihi huku akisisitiza utendaji kazi unaozingatia kuheshimiana, uaminifu,  weledi, ubunifu na bidii katika maeneo yao ya kutolea huduma.

Akizungumzia suala zima la ukusanyaji wa mapato ametaka kila kituo kutoa taarifa zake kila wiki  na kusema kuwa zipo huduma ambazo zinatolewa kwa malipo hivyo lazima mapato yakusanywe ili fedha hizo ziweze kusaidia huduma mbalimbali vituoni.

Naye Mganga Mkuu Wilaya Dokta George Kasibante amemshukuru Mkurugenzi Mtendaji kwa kuwakumbusha mambo muhimu katika sekta ya afya na kusema kuwa utoaji huduma za afya ni huduma muhimu hivyo kila mmoja awajibike katika eneo lake huku akisisitiza suala zima la ukusanyaji wa mapato katika vituo vyao kwa kadri inavyostahiki.

Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Program ya Dunia Yangu Bora Yawa Chachu Njema Mashuleni

    August 11, 2022
  • Maonesho ya Nane Nane kuwa Endelevu

    August 08, 2022
  • Fanyeni Maonesho ya Nane Nane kuwa na tija - Mh. Pinda

    August 04, 2022
  • RUWASA, MORUWASA shirikianeni na taasisis nyingine kuibua vyanzo vya maji

    August 02, 2022
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu:

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa