• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Wajibu wa mlezi elimu bila malipo

Posted on: May 18th, 2018

Rai imetolewa kwa wazazi wilayani Kilosa kusimamia na kuutumia ipasavyo waraka wa elimu namba 3 wa mwaka 2016 kuhusu utekelezaji wa elimumsingi bila malipo ambapo ili kutimiza azma hii serikali ya awamu ya tano katika kutekeleza sera ya elimu na mafunzo ya mwaka 2014 ambayo ina lengo la kuhakikisha kwamba watoto wote wa kitanzania wenye rika lengwa la elimu msingi wanapata elimu bila kikwazo chochote ikiwemo ada au michango.

Rai hiyo imetolewa na Kaimu Afisa Elimu Wilaya ya Kilosa Nelson Kiliba alipokutana na wazazi, walimu na wajumbe wa kamati za shule mbalimbali wilayani Kilosa ambapo amewataka kuutafuta waraka huo na kuupitia kwa kina ili kutambua yaliyomo ndani yake kisha kuufanyia kazi ipasavyo ikiwemo kutambua majukumu yao kama wazazi/walezi.

’’ Utoaji wa elimumsingi bila malipo una maana ya kwamba mwanafunzi atasoma bila mzazi/mlezi kulipa ada wala michango ya fedha iliyokuwa ikitozwa shuleni kabla ya kutolewa waraka wa elimu namba 5 wa mwaka 2016 na kwamba Waraka haujasema watoto wasile kwani kula humfanya mtoto ajiamini, asikilize kwa umakini, afikiri vizuri kisha kufaulu vizuri, hivyo mzazi/mlezi anao wajibu wa kuhakikisha anashirikiana na uongozi wa shule kuhakikisha mtoto wake anakula vizuri awapo shuleni kupitia vikao vitakavyokuwa vimefanya maamuzi kwa kushirikisha wazazi, walimu na kamati za shule. Kiliba amesisitiza

Kiliba amesema kumekuwa na upotoshaji kuhusu waraka huo ambao unamhitaji mzazi kutambua majukumu yake ikiwemo kununua sare za shule na michezo, vifaa vya kujifunzia, kushirikiana na uongozi wa shule kuweka utaratibu wa kutoa chakula cha mchanai, kukemea na kutoa taarifa ngazi husika kuhusu mienendo inayokwenda kinyume na elimumsingi bila malipo na kufuatilia mahudhurio na maendeleo ya taaluma ya watoto wao

Akizungumzia kuhusu suala la wanafunzi wasiochangia kuzuiwa kula Kiliba amesema walimu wasiwazuie wanafunzi bali wazazi wote watakaokaidi maamuzi ya kikao ya uchangiaji wa chakula  wachukuliwe hatua stahiki ili kukomesha tabia hiyo na kuondoa malalamiko baina ya wazazi na uongozi wa shule.

Sambamba na hayo wazazi waliohudhuria vikao hivyo wamemshukuru Afisa Elimu Wilaya kwa kuwaelimisha juu ya waraka huo na wameahidi kusimamia vema na kushiriki kikamilifu katika masuala ya kielimu ili kusonga mbele na kuwa bega kwa bega na walimu ili kupata matokeo chanya ikiwemo ufaulu mzuri kwa wanafunzi hasa wa darasa la nne na la saba.

Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Mfumo wa TAUSI watambulishwa kwa wafanyabiashara

    March 23, 2023
  • Shule ya Msingi Tambukareli yaanza kutumika rasmii

    March 06, 2023
  • Shule ya Msingi Tambykareli yaanza kutumika rasmi

    March 06, 2023
  • DC SHAKA ASISITIZA UONGOZI WA PAMOJA

    March 01, 2023
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737-847-880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa