• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

WAKULIMA WA KATA YA MALOLO NA MAGUHA WILAYANI KILOSA WAKABIDHIWA VIFAA VYA UFUGAJI NYUKI

Posted on: January 25th, 2024

Baadhi ya  Vikundi vya wakulima  kutoka kata ya Malolo na Maguha Wilayani Kilosa  wamepatiwa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa kutunza Bayoanuai za Kilimo na kukabidhiwa vifaa mbalimbali vya ufugaji nyuki ili waweze kufanya shughuli zao za tija.

Makabidhiano hayo yamefanyika Januaruari 24,2024  Katika kata ya Maguha ambapo vifaa vilivyogawiwa ni pamoja na Mizinga ya nyuki, Tanki za kuifadhia asali, Bomba la moshi, Mavazi maalum ya kuvaa wakati wa uvunaji, wavu wa kuchujia asali, Patasi na kifagio ikiwa ni ufadhili wa Umoja wa Ulaya (EUROPEAN UNION) chini ya usimamizi wa Shirika la Umoja wa Mataifa (FAO)

Akizungumza  wakati wa makabidhiano ya vifaa hivyo katika ukumbi wa Kata ya Maguha Afisa Tarafa ya Magole bi Asha Saidi Amani ambaye pia alimwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Mhe Shaka Hamdu Shaka amevipongeza vikundi hivyo kutoka kata ya maguha na Malolo kwa hatua hiyo kubwa na kwamba Mradi huo utaleta manufaa kwa  wananchi wa kilosa  na hata nje ya kilosa .

Pia amewataka wakulima hao  wawe mabalozi  kwa wengine na mfano wa kuigwa kwa kuendeleza mafunzo waliyopata pamoja na kusimamia vifaa walivyokabidhiwa kwa kushirikiana na jamii inayowazunguka kwa kuwaelimisha na  kupitia mafunzo waliyopatiwa kutoka kwa wawezeshaji wa mradi  huo na kuleta mafanikio hasa katika utunzaji wa mazingira katika maeneo yao na maeneo mengine ndani ya kilosa.

Sambamba na hayo Bi. Asha amependekeza  Ofisi ya Mkurugenzi  iwapatie wakulima hao  eneo  maalum la kuuza bidhaa zao za asali hiyo itawasaidia wakulima hao kujiendeleza kiuchumi  na kujisimamia wenyewe.

Bi. Asha ameongeza kwa kuishukuru Serikali ya awamu ya sita kwa kutekeleza mradi huo wa utunzaji wa mazingira kwa kuingia mikataba na mashirika husika mpaka kufikia katika maeneo yao na kuwa moja kati ya wanufaika

 wa mradi huo.

Kwa upande wake Mratibu wa mradi Diomedes Kalisa kutoka shirika la kilimo na chakula la umoja wa mataifa (FAO) amesema kuwa kupitia mradi huo wa kuwajengea uwezo wakulima  kutunza bayoanuai za kilimo hasa katika utunzaji wa mazingira amewataka wakulima hao watumie fursa hiyo vizuri kupitia

Naye Afisa nyuki wa wilaya Bi. Diana Sunday Mahimbali amesema kuwa mradi huo utaleta tija kwa wakulima hao kupitia  Mafunzo na vifaa hivyo walivyokabidhiwa ambapo italeta uzalishaji bora wa mazao ya nyuki ukilinganisha na kipindi cha nyuma, pia itawawezesha kujiendeleza kiuchumi kupitia zao la asali katika ufugaji wa huo wa nyuki.

Tangazo

  • TANGAZO LA MKUTANO WA BARAZA LA WAHE. MADIWANI May 22, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • WAUGUZI WATAKIWA KUWA WAADILIFU MAHALI PA KAZI

    May 30, 2025
  • WAHE. MADIWANI WAISHUKURU SERIKALI YA AWAMU YA SITA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    May 30, 2025
  • KILOSA YAJIPANGA KUTATUA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI

    May 28, 2025
  • VITENGO VYA HABARI SERIKALINI VIIMARISHWE KWA KUFANYA MAWASILIANO YA KIMKAKATI

    May 24, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa