• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

WAKULIMA WILAYANI KILOSA KUNUFAIKA NA MRADI WA KUWAWEZESHA KUONGEZA TIJA YA UZALISHAJI NA UPATIKANAJI WA MASOKO

Posted on: June 6th, 2024

Wakulima Wilayani kilosa hususan Vijina na Wanawake wanatarajia kunufaika na Mradi utakaowawezesha kuongeza tija ya uzalishaji na upatikanaji wa masoko  (FEIPA) unaoendeshwa kwa ushirikiano wa shirika la Kilimo tija na Kampuni ya Green Intergration wenye lengo la kuwawezesha wakulima katika masuala ya Teknolojia,Masoko,pamoja na ujasilia mali  ili waweze kujikwamua  kiuchumi.

Hayo yamebainishwa Juni 6 mwaka huu na Mkurugenzi wa Mtendaji wa Kampuni ya Green Intergration Bwana Ayub Eliah wakati akitambulisha Mradi huo kwa Wadau mbalimbali wa Kilimo ambapo amesema Mradi huo unaotarajiwa kutekelezwa Wilayani hapa kwa kipindi cha miaka 3 na kunufaisha  Wakulima takribani 800 kutoka maeneo mbalimbali.

Amesema kuwa Mradi huo umejikita kwenye maeneo manne ikiwemo utoaji wa Elimu ya huduma za ugani kwa Wakulima, kuwawezesha wakulima kupata Teknolojia bora za uzalishaji wa Mazao, kuwawezesha Wakulima kupata Rasilimali fedha kwaajili ya Uendeshaji wa Shughuli za Kilimo, pia kuwaunganisha Wakulima na masoko hivyo amewataka Wakulima kuchangamkia Fursa hiyo ili kufanya Kilimo chenye tija.

Hata hivyo amesema kuwa Mradi huo utaendeshwa kwa kuchangia Gharama ambapo Kampuni itachangi asilimia 60 na mradi  utachangia asilimia 40,ambapo amebainisha kuwa Watafanya kazi na vikundi vilivyopo na vipya kwa kuzingatia uhalali na uhai wa vikundi ili kuepuka matatizo yanayoweza kutokea.


Kwa upande wake Mkuu wa Divisheni ya Maendeleo ya Jamii Ndg Alto Mbikiye amesema kuwa iwapo vitapatikana vikundi vizuri kwa kushirikiana na Maafisa ugani na Maafisa Maendeleo ya Jamii waliopo kwenye maeneo wanatakayofanyia kazi wanaweza kukopeshwa Mitaji ili kutekeleza jambo hilo.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa