• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Walimu wa hisabati wapatiwa mafunzo ya mbinu shirikishi za ufundishaji somo la hisabati

Posted on: June 8th, 2018

Imebainika kuwa mbinu shirikishi  baina ya mwanafunzi na mwalimu katika ufundishaji ni njia mojawapo inayoweza kumsaidia mwanafunzi kuwa na uelewa mzuri na kupata matokea chanya hasa katika somo la hisabati.

Hayo yamebainisha na Nelson Kiliba Kaimu Mkuu wa Idara ya Elimu Msingi Wilaya wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa walimu 52 wa hisabati wa shule za msingi katika tarafa ya Magole wilayani Kilosa kupitia mradi wa hisabati ni maisha ambapo amesema mafunzo ya aina hiyo yatakuwa ni endelevu kwa masomo mengine pia.

Akitoa msisitizo kwa walimu Kiliba amesema lengo la semina hiyo ni kuwajengea uwezo  katika ufundishaji kwani hisabati inafuata kanuni na kanuni hizo zinapaswa kufuatwa ili kuleta matokeo chanya, hivyo amewataka walimu hao kuzingatia mafunzo hayo na kisha kuyafanyia kazi kinadharia na vitendo pindi wawapo mashuleni.

Aidha Gervas Ndove mkufunzi toka chuo cha ualimu Ilonga wilayani Kilosa ametoa rai kwa walimu hao kuzingatia maneno wanayotumia katika ufundishaji kwani maneno hutegemea aina ya wanafunzi na uelewa wao hivyo ni vema matumizi ya maneno katika ufundishaji yakazingatiwa ili kuwasaidia wanafunzi kuelewa kwa haraka na kupata matokeo mazuri.

Na Abrahab Abdul mwalimu toka shule ya msingi  Mamboya kwa niaba ya washiriki wenzake amesema  mafunzo hayo yametoa mbinu za kumjengea mwanafunzi uelewa kwa ufasaha zaidi na kuwa yatasaidia kupata matokeo mazuri kwa kutumia mazingira waliyonayo wanafunzi na  njia mbalimbali za kumfundisha mtoto kwa kumhusisha moja kwa moja.

Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Program ya Dunia Yangu Bora Yawa Chachu Njema Mashuleni

    August 11, 2022
  • Maonesho ya Nane Nane kuwa Endelevu

    August 08, 2022
  • Fanyeni Maonesho ya Nane Nane kuwa na tija - Mh. Pinda

    August 04, 2022
  • RUWASA, MORUWASA shirikianeni na taasisis nyingine kuibua vyanzo vya maji

    August 02, 2022
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu:

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa