• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

WALIMU WATAKIWA KUZINGATIA ULAJI MLO KAMILI MASHULENI

Posted on: September 4th, 2020

Wakuu wa shule, waratibu elimu kata sambamba na walimu wa lishe katika shule za sekondari wametakiwa kusimamia na kuhakikisha chakula kinachopatikana mashuleni kikiwa katika ubora lakini pia kizingatie makundi matano ya chakula ili kuwasaidia wanafunzi kupata virutubisho vyote badala ya kuagiza vyakula vya aina moja ambavyo havijazingatia ulaji wa mlo kamili kwa wanafunzi.

Rai hiyo imetolewa Septemba 3 mwaka huu na Mkuu wa Idara ya Elimu Sekondari Bi. Paula Nkane wakati wa mafunzo ya siku mbili ya kuwajengea uwezo walimu namna ya utoaji wa elimu ya lishe ya vijana balehe kwa kutumia zana za mawasiliano na mabadiliko ya tabia katika vikundi rika ambapo amewataka walimu hao kuhakikisha chakula wanachopewa wanafunzi kiwe kimekamilika ili kuwafanya kuwa na afya bora kwa maisha yao ya baadae.

Paula amesema kuwa walimu wamekuwa wakiagiza vyakula pasipo kuzingatia makundi matano ya vyakula ambapo amewataka licha ya kuzingatia makundi matano ya vyakula lakini pia amewataka  kuanzisha bustani ambazo zitawasaidia kupata mbogamboga zitakazotumika katika vyakula vikuuu huku akisisitiza kutumika kwa mafuta katika vyakula ili watoto waweze kupata virutubishi mbalimbali kama vitamin na vinginevyo.

Aidha amesema kuwa kupitia upatikanaji wa chakula mashuleni idara ya elimu sekondari  inatekeleza lengo ya kitaifa la masuala ya lishe kwani pasipo kuwa na afya njema huwezi ukafanya vizuri hususani kwa upande wa wanafunzi pasipo chakula ni ngumu mwanafunzi kujifunza na kufanya vizuri darasani hivyo amewataka walimu hao kuhakikisha wanakuwa na bustani katika shule zao lakini pia kupanda miti ya matunda.

Akizungumzia upande wa watoto wa rika balehe amesema watoto wanaendelea kukua hivyo ni vizuri vyakula vikapatikana katika makundi ya matano kwani mtoto anatakiwa kujengwa vizuri ili viweze kuwasaidia hata katika via vya uzazi na homoni ili wasipate shida pindi watakapokuwa watu wazima ambapo katika ukuaji wanahitaji nguvu nyingi lakini wanapokula vizuri hata akili zao zinakuwa vizuri.


Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa