• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Wananchi kata ya Ruaha watakiwa kutoa ushirikiano tukio la moto

Posted on: October 13th, 2022

Kufuatia tukio la moto uliojitokeza katika soko la Kilombero katika kata ya Ruaha wananchi wametakiwa kutoa ushirikiano kwa kikosi kazi kilichoundwa ili kubaini chanzo cha moto pamoja na kufanya tathmini ya athari zilizojitokeza kutokana na moto huo.

Wito huo umetolewa Oktoba 12, 2022 na Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Alhaji Majid Mwanga wakati akizungumza na wananchi katika eneo la soko hilo ambapo amesema hadi sasa chanzo cha moto bado hakijajulikana hivyo kikosi kazi hicho kitakutana na mwananchi mmoja mmoja ili kuweza kupata taarifa mbalimbali zinazohusiana na tukio hilo ili kuchukua hatua stahiki.


Aidha amemshkuru Mh. Rais kwa uwepo wa gari la jeshi la zima moto lililoko kata ya Mikumi ambalo limekuwa msaada mkubwa katika kuzima moto uliojitokeza majira ya saa tatu usiku huku akitoa rai kwa kampuni ya Kilombero sugar kuweka mpango wa kununua gari la zima moto ili kujinusuru katika matukio ya moto ambayo yanaweza kujitokeza.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Ndg. Kisena Mabuba amewasihi wafanyabiashara wote waliojenga maeneo ya ziada katika vibanda ambayo yamepelekea kuziba kwa barabara kubomoa mara moja maeneo hayo ambayo yamepelekea barabara hizo kutopitika jambo lililopelekea ugumu wa zoezi la kuzima moto kutokana na barabara hizo kuwa finyu.

Aidha amewataka wafanyabiashara ambao vibanda vilivyoathirika kuendelea na biashara zao wakati Halmashauri ikiendelea kufanya taratibu nyinginezo kurejesha miund0mbinu ya vibanda hivyo ambavyo ni mali ya Halmashauri huku akisema kuwa pamoja na taratibu za kurejesha vibanda hivyo zoezi la kutafuta mali zilizoibiwa linaendelea huku akisihi ulinzi kuendelea kuimarishwa pamoja kuchukua tahadhari.


Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WAKUMBUSHWA KUZINGATIA MAADILI

    June 05, 2023
  • Vikundi vilivyopata mikopo vyatakiwa kufanya marejesho kwa wakati

    June 02, 2023
  • Vikundi vilivyopata mikopo vyatakiwa kurejesha kwa wakati

    June 02, 2023
  • Shaka aahidi kushirikisha wananchi utatuzi wa changamoto

    May 31, 2023
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737-847-880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa