• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Wananchi kata ya Ruaha watakiwa kutoa ushirikiano tukio la moto

Posted on: October 13th, 2022

Kufuatia tukio la moto uliojitokeza katika soko la Kilombero katika kata ya Ruaha wananchi wametakiwa kutoa ushirikiano kwa kikosi kazi kilichoundwa ili kubaini chanzo cha moto pamoja na kufanya tathmini ya athari zilizojitokeza kutokana na moto huo.

Wito huo umetolewa Oktoba 12, 2022 na Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Alhaji Majid Mwanga wakati akizungumza na wananchi katika eneo la soko hilo ambapo amesema hadi sasa chanzo cha moto bado hakijajulikana hivyo kikosi kazi hicho kitakutana na mwananchi mmoja mmoja ili kuweza kupata taarifa mbalimbali zinazohusiana na tukio hilo ili kuchukua hatua stahiki.


Aidha amemshkuru Mh. Rais kwa uwepo wa gari la jeshi la zima moto lililoko kata ya Mikumi ambalo limekuwa msaada mkubwa katika kuzima moto uliojitokeza majira ya saa tatu usiku huku akitoa rai kwa kampuni ya Kilombero sugar kuweka mpango wa kununua gari la zima moto ili kujinusuru katika matukio ya moto ambayo yanaweza kujitokeza.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Ndg. Kisena Mabuba amewasihi wafanyabiashara wote waliojenga maeneo ya ziada katika vibanda ambayo yamepelekea kuziba kwa barabara kubomoa mara moja maeneo hayo ambayo yamepelekea barabara hizo kutopitika jambo lililopelekea ugumu wa zoezi la kuzima moto kutokana na barabara hizo kuwa finyu.

Aidha amewataka wafanyabiashara ambao vibanda vilivyoathirika kuendelea na biashara zao wakati Halmashauri ikiendelea kufanya taratibu nyinginezo kurejesha miund0mbinu ya vibanda hivyo ambavyo ni mali ya Halmashauri huku akisema kuwa pamoja na taratibu za kurejesha vibanda hivyo zoezi la kutafuta mali zilizoibiwa linaendelea huku akisihi ulinzi kuendelea kuimarishwa pamoja kuchukua tahadhari.


Tangazo

  • TANGAZO LA MAFUNZO YA UDEREVA WA MAGARI, PIKIPIKI NA BAJAJI September 30, 2025
  • TANGAZO LA TOZO September 10, 2025
  • TANGAZO LA KUKODISHA MASHAMBA YA HALMASHAURI September 11, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA DARASA LA SABA November 23, 2023
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • DC SHAKA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI KATA YA TINDIGA

    October 08, 2025
  • WANANCHI WILAYANI KILOSA WAHIMIZWA KUFANYA UCHUNGUZI WA AWALI WA SARATANI YA MATITI

    October 01, 2025
  • WASIMAMIZI WA MIRADI NGAZI YA SHULE WATAKIWA KUFANYA TATHMINI KWA KILA HATUA YA UJENZI

    September 28, 2025
  • KILOSA YAFANIKIWA KUCHANJA MBWA WENGI KATIKA WIKI YA KICHAA CHA MBWA

    September 28, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa