• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

WANAWAKE WAHAMASHISHWA KUJIUNGA KATIKA VIKUNDI ILI KUPATA MIKOPO

Posted on: October 2nd, 2021

Katika kuiadhimisha siku ya wazee Duniani wito umetolewa kwa wanawake wazee kujiunga na vikundi vya wanawake kwa lengo la kufanikisha azma ya kupata mikopo ya 10% inayotolewa na Halmashauri kwa vikundi vya wanawake , vijana na wenye ulemavu.

Akitoa wito huo katika maadhimisho hayo yaliyofanyika Oktoba Mosi mwaka huu Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Mh. Alhaj Majid Mwanga amesema mikopo hiyo kwa kundi la wanawake haina mipaka ya umri hivyo ni vema akatumia fursa hiyo wakati Serikali ikendelea kuangalia ni kwa namna gani wanaweza kuwasaidia wazee kwa ujumla wao.

Aidha katika maadhimisho hayo ya siku ya wazee duniani yenye kauli mbiu ya Matumizi Sahihiya Kidigitali Kwa Ustawi wa Rika Zote ametoa onyo kwa watendaji wote wa vijiji wanaodai fedha kwa watu wanaokwenda kuchukua vitambulisho vyao vya Uraia katika ofisi za vijiji kuwa vitambulisho hivyo vinapaswa kutolewa bila gharaama yoyoyote huku akisisitiza kundi la wazee na wananchi wote kufika katika ofisi za vijiji ili kuchukua vitambulisho vyao vya uraia.

Akisoma Risala hiyo ya Wazee Bi Leah Mzuamtemi Nzali amebainisha changamoto zinazowakabili wazee hao ikiwemo Umasikini, kutokuwepo katika mfumo wa Hifadhi ya jamii hususani wazee waliostaafu katika ajira zisizo rasmi kama vile kilimo, ufugaji, uvuvi, magonjwa, kutokushirikishwa katika mipango ya maendeleo, kutokuwepo kwa mfuko wa wazee, kutopatikana kwa vitambulisho vya taifa(NIDA) kwa wazee, huduma mbovu na kutozwa gharama za matibabu kwa wazee.

Katika kufanikisha maadhimisho ya siku ya wazee duniani Mganga Mkuu Mkoa wa Morogoro Dokta Kusirye Urio akiwa ameambatana na timu ya madaktari  wametoa  itatoa huduma mbalimbali kwa watu wote waliofika katika maadhimisho hayo ikiwemo utoaji wa chanjo ya UVICO19 kwa hiyari, upimaji wa maradhi mbalimbali bure pamoja na zoezi la uchangiaji damu salama.


Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa