• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

WASIMAMIZI WA ELIMU WATAKIWA KUIPA KIPAUMBELE ELIMU YA WATU WAZIMA

Posted on: September 25th, 2024

Wasimamizi wa Elimu wilayani Kilosa wametakiwa kuipa kipaumbele Elimu ya watu wazima ili kuleta uwiano sawa wa kielimu kwenye jamii.

Wito huo umetolewa Septemba 25, 2024 na Afisa Tawala Wilaya ya Kilosa Salome Mkinga wakati wa hotuba yake katika maadhimisho ya kilele cha Juma la Elimu ya Watu Wazima yaliyofanyika katika viwanja vya shule ya msingi Lamulilo iliyopo Kata ya Magomeni.

Bi.Salome Mkinga Amewataka Walimu Wakuu na Maafisa Elimu Kata kusimamia elimu ya watu wazima ili kuendana na sera ya Serikali ya Elimu ya watu wazima.

Aidha amesema kuwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatambua mchango wa Elimua ya watu wazima ikiwa ni pamoja na kuongeza fursa za elimu ya sekondari na msingi kwa wale waliozikosa elimu hizo.

Kwa upande wake Mkuu wa Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi Bi. Zakia Fandey amesema kuwa Elimu ya watu wazima ina umuhimu kwani inawagusa watu wote kwenye jamii.

Akisoma Risala kwa Mgeni rasimi, Afisa Elimu anayeshughulikia elimu ya watu wazima Richard Mpumilwa amesema kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa ina jumla ya vituo 26 vilivyosajiliwa kutoa elimu ya watu wazima.

Miongoni mwa wadau waliohudhuria maadhimisho haya ni Jeshi la Polisi  Dawati la Jinsia na Watoto na Hemedi Rajabu Chabu ambaye ni Afisa wa Jeshi la Polisi Kutoka Dawati la Jinsia Wilaya ya kilosa ameitaka+ jamii kuwalinda watoto dhidi ya ukatili wa kijinsia ili waweze kutimiza haki yao ya elimu.

Maadhimisho haya yameyakutanisha makundi mbalimbali huku shughuli mbalimali zikifanyika ikiwemo maonesho ya zana na mbinu za ufundishaji wa Elimu ya watu wazima huku yakiwa yamebebwa na kaulimbiu isemayo:

Ujumuishi katika Elimu bila Ukomo kwa Ujuzi, Ustahimilivu, Amani na Maendeleo”

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa