• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

WASIMAMIZI WA MIKOPO NGAZI YA KATA WAMETAKIWA KUSIMAMIA VEMA UTOAJI WA MIKOPO YA 10%

Posted on: October 4th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Ndg. Michael Gwimile amewataka Wataalamu na Wasimamizi wa Kamati ya huduma ya Mikopo ngazi ya Kata kusimamia vema Utoaji wa Mikopo ya asilimia kumi kupitia mafunzo waliyopewa  ili mikopo hiyo iweze kuvikwamua vikundi vya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu kiuchumi.

Gwimile ameyasema hayo 4 Oktoba, 2024  wakati akifungua  mafunzo ya Utoaji na Usimamizi wa Mikopo ya 10% katika Ukumbi wa Chuo cha FDC Ilonga akifafanua kuwa Serikali imewaamini na kuwapa dhamana hiyo, hivyo ni wajibu wao kuyazingatia mafunzo waliyopewa ili kuleta mabadiliko na kufanikisha mpango wa serikali wa kusaidia makundi hayo kupitia  utendaji wao na usimamizi mzuri.

Aidha, ameongeza kuwa mikopo hiyo ni kwa ajili ya Vijana, Wanawake na Watu wenye Ulemavu ambao wanatakiwa wawe wamejiunga kwenye vikundi vilivyoisajiliwa, kuhakikiwa na mamlaka husika pamoja na wanavikundi hao kuwa na shughuli maalumu inayotambulika ya kuwaingizia kipato.

Kwa upande wake Mkuu wa Divisheni ya Maendeleo ya Jamii Alto Mbikiye amesema mafunzo hayo yataongeza uelewa wa kusimamia utoaji na urejeshaji wa Mikopo ambapo mwaka huu wanatarajia kutoa mikopo ya sh. Bilioni 1.2 ambazo zimekuwa zikitengwa tangu kusitishwa kwa mikopo hiyo.

Pia Mbikiye ameongeza kuwa wanavikundi watakaoomba  na kukidhi vigezo vya Mkopo ndio watakaopewa mkopo huo  kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa vilevile mafunzo hayo yataendelea kwa muda wa siku tatu kuanzia tarehe 04 hadi 06 Oktoba 2024 yakiwahusu Maafisa Maendeleo ya jamii ili kuwajengea uwezo ambapo jukumu lao ni kupokea maombi kutoka kwenye vikundi, kuyapitia na kuhakiki kama yamekidhi vigezo vinavyohitajika.

Naye Kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilaya Gwakisa Mwaikela  amewasihi kusimamia vema kwa kufata utaratibu na kuhakikisha vikundi hivyo vinakuwa na wajumbe tofauti tofauti na si ndugu pia vikundi hivyo visiwe na mjumbe ambaye ni kiongozi wa serikali au kupokea fedha kwa lengo kupitisha mikopo kwa kufanya hivyo itaisadia vikundi hivyo kuleta mabadiliko chanya na itarahisisha mambo mabalimbali yatakayopelekea kikundi kukua na kujiinua kiuchumi.

Pamoja na mambo mengine wasimamizi hao wamekula kiapo cha kuepuka mgongano wa masilahi wakati wa utoa wa mikopo hiyo kwa walengwa.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa