• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

WASIMAMIZI WASAIDIZI WAMETAKIWA KUELIMISHA WANANCHI KUSHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

Posted on: October 1st, 2024

Wasimamizi  wasaidizi ngazi ya Wilaya, Kata na Vijiji wametakiwa Kutoa elimu kwa wananchi ili wapate uelewa juu ya umuhimu wa kushiriki uchaguzi  wa serikali za Mitaa ili waweze  kuchagua viongozi bora.

Wito huo umetolewa 30 Septemba, 2024 na Msimamizi wa Uchaguzi Ndg. Michael J Gwimile wakati akifungua mafunzo ya Uchaguzi kwa wasimamizi hao ambapo amesema kuwa ili wananchi waweze kujitokeza kwa wingi ni lazima wapate ufahamu kuhusu umuhimu wa kupiga kura na kugombea nafasi za uongozi katika vijiji na vitongoji vyao.

Gwimile ameongeza kuwa ili uchaguzi uwe bora na kupata viongozi bora, unategemea ubora wa kazi zao na uaminufu wao na endapo viongozi bora watapatikana watasaidia Kilosa kuwa na maendeleo hivyo wana jukumu kubwa la kuhakikisha wananchi wenye sifa wanajitokeza kwa wingi kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Pia Gwimile amesema wasimamizi hao wasaidizi wana jukumu la Kusimamia, kuendesha na kushiriki katika uchaguzi huo kwa kuzingatia maslahi mapana ya nchi ikiwa ni pamoja na kudumisha Demokrasia, Amani, Utulivu na Mshikamano sambamba na kutenda haki kwa wananchi.

Kwa upande wake Mwezeshaji wa Mafunzo ya Uchaguzi  ambaye pia ni Msimamizi Msaidizi ngazi ya Wilaya Batuely Ruhega amesema ni muhimu kuzingatia Kanuni, Sheria na Miongozo ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa ili uchaguzi huo uwe wa haki na uaminifu kwa wapiga kura na wagombea wa nafasi za uongozi.

Batuely amesisitiza kuwa ili Uchaguzi uweze kwenda vizuri wanatakiwa kusimamia kwa kufuata kanuni za uchaguzi zilizowekwa ambazo zitawasaidia kuwaongoza katika utekelezaji wa Majukumu yao kwa dhamana waliyopewa ili kupata viongozi bora watakao ongoza baada ya uchaguzi huo.

Pamoja na hayo wasimamizi wasaidizi hao walikula kiapo cha uaminifu na kutunza siri.



 

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa