• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

WATAALAM WA AFYA WASHAURIWA KUISHIRIKISHA SERIKALI KATIKA NGAZI ZA UTOAJI ELIMU-DC KILOSA

Posted on: August 20th, 2020

Wito  umetolewa kwa wataalam na wadau wa afya kutosita kushirikiana na Serikali katika kutoa elimu ya afya ya uzazi kwa watu wote ili kuwaepusha na madhira mbalimbali ambayo yanaweza kujitokeza ikiwemo vifo vya kinamama vinavyotokana na uzazi na watoto wachanga chini ya miaka mitano.

Akitoa wito huo Agosti 20 mwaka huu Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi wakati akifungua kikao chenye lengo la kujadili vifo vya kinamama vitokanavyo na uzazi na vifo vya watoto wachanga kinachoshirikisha wataalam wa afya toka wilaya zote za mkoa wa Morogoro  pamoja na wadau wa afya ambapo ametaka wataalam hao kushirikiana na Serikali licha ya kutumia utaalam lakini pia kutumia mbinu mbalimbali zitakazosababisha watu wote kuzingatia kanuni zote za msingi za kiafaya ili kuepuka vifo vinavyoweza kuepukika.

Mgoyi amesema ipo haja ya kutumika kwa mbinu mbalimbali ikiwemo matumizi ya sheria ndogo ndogo ambazo zitapaswa kufuatwa kwani jambo la kupoteza maisha linagusa familia na taifa kwa ujumla na kwamba anategemea kupitia kikao hicho watatoka na mbinu mpya za kupunguza ama kuondoa kabisa  vifo vitokanavyo na uzazi.

Akibainisha sababu za vifo ikiwemo kutokwa na damu nyingi kabla,wakati na baada ya kujifungua, kifafa cha mimba, kuharibika kwa mimba na uchungu pingamizi anategemea kuwepo kwa mbinu mbalimbali na mikakati ya kupunguza vifo hivyo ikiwemo kushirikisha ngazi zote za Serikali upande wa kutoa elimu na kwamba Serikali inatambua changamoto zilizoko katika sekta ya afya ikiwemo uhaba wa wataalam wa afya ambapo Serikali inafanya juhudi za kuajiri wataala wa afya.

Akihitibisha hotuba yake Mkuu wa Wilaya huyo amesema vifo vya kinamama na watoto vinaumiza kila mtu ambapo ametaka wataalam wa afya kujitafakari upya katika utendaji wao na kuzitazama huduma wanazotoa kwa mapana jambo litakalosaidia kupunguza idadi ya vifo ambavyo vimekuwa vikijitokeza pamoja na malalamiko huku akitaka wataalam hao kuunga mkono juhudi za Serikali katika sekta ya afya kwa maendeleo ya Mkoa wa Morogoro.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa