• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

WATANZANIA WAHAMASISHA KUJIUNGA NA VIKOBA- DKT ASHATU

Posted on: March 2nd, 2019

Naibu waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Ashatu Kijaji Machi 1 mwaka huu amewataka watanzania wote kujiunga na vikundi vya mikopo vilivyosajiliwa ili kujiendeleza kiuchumi na kulifanya  taifa la Tanzania kuwa na  uchumi wa kati na zaidi kuwa na nchi inayoendelea kwa kuwa hakuna atakayeweza kuijenga Tanzania bali ni sisi wenyewe.

Amesema hayo wakati akijibu risala iliyotolewa na wana vikoba wa Mikumi, Kidodi na Ruaha kuwa hadi sasa sheria imeshapitishwa ya kutambua vikoba vyote vilivyosajiliwa na kuahidi kuwalinda mahali popote walipo ili wasidhulumiwe tena.

Aidha Kijaji amewataka viongozi wa Wilaya akiwemo Mkuu wa Wilaya na Mkurugenzi Mtendaji kutekeleza sheria ya huduma ndogo ya fedha kwa vitendo kwa kusajili vikoba vyote na kuvipa mikopo pindi inapohitajika huku akiwataka wanavikoba hao kutumia changamoto walizo nazo kuwa fursa.

Pia amewataka wanavikoba kuwa na malengo pindi wanapochukua mikopo hiyo na kubadilisha maisha kwa kuonyesha mfano mwema ili kuwavuta na wengine kujiunga na vikoba hivyo.

Sambamba na hayo Dkt. Kijaji amechangia fedha taslim kiasi cha shilingi 500,000/= kwa ajili ya ujenzi wa ukumbi wa shirikisho la wanavikoba wa kata ya Ruaha.

Nao wanavikoba wa kata zote tatu wamewaomba viongozi kuwatembelea mara kwa mara na kuwapatia mafuzo zaidi ya vikoba ili kuwajengea uwezo wa kufanya kazi kwa juhudi na weledi.

Hii imekuja baada ya Rais John Pombe Magufuli kuwataka wananchi kujiunga na vikundi vya kukopa ili kukuza uchumi  na kuhakikisha  wanapunguza tozo yaani riba hasa kwa wanawake pindi wanapokopa na kuahidi kuwapa wanufaika hao maeneo ya kujenga viwanda vidogovidogo.

Tangazo

  • TANGAZO LA MAFUNZO YA UDEREVA WA MAGARI, PIKIPIKI NA BAJAJI September 30, 2025
  • TANGAZO LA TOZO September 10, 2025
  • TANGAZO LA KUKODISHA MASHAMBA YA HALMASHAURI September 11, 2025
  • MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA DARASA LA SABA November 23, 2023
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • WATUMISHI KILOSA WAJENGEWA UWEZO WA MATUMIZI YA MFUMO WA NEST

    October 09, 2025
  • WATUMISHI KILOSA WAHIMIZWA KUJENGA UTAMADUNI WA KUFANYA MAZOEZI YA MWILI KILA JUMAMOSI YA WIKI

    October 04, 2025
  • DC SHAKA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI KATA YA TINDIGA

    October 08, 2025
  • WANANCHI WILAYANI KILOSA WAHIMIZWA KUFANYA UCHUNGUZI WA AWALI WA SARATANI YA MATITI

    October 01, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa