• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Watendaji wa kata waaswa uwajibikaji

Posted on: April 27th, 2022

Watendaji wa kata wametakiwa kuwajibika kila mmoja kwa nafasi yake badala ya kusubiri kufanya kazi na majukumu yao kwa kusukumwa kwani kila mtumishi wa umma anao wajibu wa kufanya majukumu yake bila kukumbushwa kwani suala la uwajibikaji ni la kila mtumishi wa umma.

Rai hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Kisena Mabuba ambapo ametaka watendaji hao kuwajibika inavyostahiki huku akitaka kila mmoja kutimiza wajibu wake jambo litakalosaidia kupunguza manung’uniko kwa kutotimiza wajibu.

Kisena amesema kuwa kumekuwa na hulka kwa baadhi ya watendaji kutotimiza majukumu yao hususani katika utoaji wa taarifa na kuzibandika katika ofisi zao ili wananchi waweze kupata taarifa kwa wakati stahiki ambapo ametoa onyo kwa watendaji wasiowajibika hususani katika mazoezi mbalimbali ya kitaifa na kiwilaya yanayoendelea na na yanayotarajiwa kufanyika ikiwemo kutoa elimu na hamasa juu ya utoaji chanjo ya polio kampeni ambayo itazinduliwa kitaifa Aprili 28, 2022 lakini pia amewataka kusimamia uanzishwaji wa klabu za lishe mashuleni.

Kwa upande wake Katibu wa CCM Wilaya Shaban Mdoe akisisitiza watendaji hao kutosubiri kukumbushwa kwani suala la afya ni jambo nyeti kwa maslahi mapana ya wananchi kwani huwezi kuwa na viongozi bora ama kuongoza wananchi ambao hawana afya bora hivyo ni vyema suala la lishe likazingatiwa ili wananchi wapate elimu lakini pia kuwa na afya bora.

Nao viongozi wa dini wametaka suala la afya za wananchi kuzingatiwa kwa umuhimu wake ili kuwa na jamii yenye siha njema ambapo wametaka mazoezi mbalimbali ya kitaifa  yanayowekwa na viongozi yapewe umuhimu wake ikiwemo upataji wa chanjo ya Uviko-19, ushiriki wa zoezi la anwani za makazi, upataji chanjo ya polio kwa watoto chini ya miaka mitano itakayozinduliwa rasmi kitaifa tarehe 28/04/2022 na kufanyika kuanzia tarehe 28/04/2022 hadi tarehe 01/05/2022 na zoezi tarajiwa la sensa ya watu na makazi linalotegewa kufanyika mwezi Agosti 2022..

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa