• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

Watoto 73,508 Kilosa kufikiwa chanjo ya Surua na Rubella

Posted on: February 15th, 2024

Imeelezwa kuwa lengo la Serikali katika sekta ya afya ni kwenda sambamba na mikakati ya kidunia katika kupunguza vifo vya watoto kwa kuhakikisha kunakuwa na upatikanaji wa chanjo za kutosha kwa magonjwa yote yanayopaswa kupatiwa chanjo pamoja na utoaji wa kinga jambo litakalosaidia kupunguza vifo vya watoto.

Mkuu wa Wilaya Comrade Shaka H. Shaka akikata utepe ishara ya uzinduzi wa chanjo ya Surua na Rubella

Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Comrade Shaka Hamdu Shaka wakati wa uzinduzi wa chanjo ya Surua na Rubella iliyofanyika katika viwanja vya kliniki ambapo amesema katika kuunga mkono  juhudi za Serikali, Wilaya ya Kilosa imekusudia kuwafikia watoto 74,508 wanao kuanzia umri wa miezi 9 hadi 59 ili kuhakikisha wanapata chanjo ya Surua na Rubella ambapo kampeni hiyo ni kuanzia Februari 15 hadi 18, 2024.

Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi Mtendaji na Mganga Mkuu wakiteta jambo

                                               Katibu Tawala Wilaya Salome Dismas

Shaka amesema Serikali katika kunusuru maisha ya watoto kipaumbele kimewekwa kwa watoto kwa kuwawekea mazingira mazuri ya ukuaji wao ikiwemo upatikanaji wa chanjo huku akiwahamasisha wananchi waliohudhuria tukio hilo kuwa wahamasishaji wazuri kwa wenzao kupitia kaulimbiu ya mpende mwanao mpeleke akapate chanjo.

       Mkurugenzi Mtendaji Michael Gwimile akiwa na Mganga Mkuu Wilaya Dkt. Mameritha Basike

Kwa upande wake Mganga Mkuu Wilaya Dkt. Mameritha Basike amesema walengwa wa chanjo ya Surua na Rubella ni watoto chini miaka mitano na kwamba lengo la chanjo hiyo ni kuzuia watoto kupata ugonjwa wa surua ambao hauna tiba na madhara ya ugonjwa huo ni homa ya mapafu, upofu, na vifo huku akitoa rai kwa viongozi wa chama na dini kushiriki katika kuhamasisha jamii ili watoto lengwa waweze kupata chanjo.

Nao wazazi waliowaleta watoto kupata chanjo ya Surua na Rubella wameishukuru Serikali na uongozi wa Wilaya kiujumla kwa kuwafikishia chanjo hiyo kwani wanaamini chanjo hiyo itawasaidia watoto kutopata ugonjwa wa Surua na Rubella na kwamba wanaamini afya za watoto wao zitakuwa vizuri.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa