• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

WATUMISHI WILAYANI KILOSA WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA UIBUAJI WA FURSA NA VIKWAZO KWA MAENDELEO

Posted on: November 23rd, 2023

Ofisi ya Rais TAMISEMI kupitia Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Pamoja na LGTI imetoa Mafunzo ya Uibuaji wa fursa  na vikwazo ( O & OD ) kwa kutumia mfumo wa MUKI (Mfumo wa ujifunzaji kieletroniki ) kwa Kikosi kazi cha Halmashauri na wawezeshaji ngazi ya msingi kutoka katika kata zote za Wilaya Kilosa lengo likiwa ni kusaidia Serikali katika kutimiza majukumu yake.

Akifungua mafunzo hayo ya siku nne kuanzia Novemba 21 mpaka 24,2023 yanayofanyika katika ukumbi wa MamboyaMjini Kilosa Mgeni Rasmi Ndg Yohana Kasitila ambaye alimwakilisha Mkurugenzi Idara ya Serikali za Mitaa Ofisi ya Rais TAMISEMI amewataka Watumishi hao kuzingatia mafunzo wanayopatiwa kwani ushiriki wao ni muhimu na kufafanua kuwa mfumo huo utasaidia ushirikishwaji wa jamii katika kuibua  Miradi ya maendeleo na kuisaidia Serikali kupunguza gharama.

Amesema kuwa mfumo huo utasaidia kuimarisha Sera ya ugatuaji wa madaraka kwa wananchi kwa kuwawezesha kufanya maamuzi na kupanga mipango yao wenyewe hivyo amewataka kuzingatia mafunzo kwa kuhakikisha  wanaelewa kwa ufasaha Mada zote wanazofundishwa kwani wana jukumu kubwa la kutoa Elimu ya  kwa jamii juu ya mfumo huo ili iweze kuibua miradi na kuikamilisha  bila kusubiri msaada wa serikali.

Sambamba na hayo Kasitila amewashukuru PS3+, Pamoja na JICA kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kuwezesha na kuhakikisha mafunzo hayo yanafanyika kadri inavyohitajika na kuleta tija kwa jamii ,kwa upande mwingine amewashukuru wadau wote wanaohusika katika jambo hilo.


Kwa upande wake Mhadhiri kutoka Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo,Cosmas Maembe ambaye pia ni muwezeshaji wa Mfumo wa fursa na vikwazo amesema  kuwa moja ya kazi kubwa wanayoifanya ni kuhakikisha kuwa wananchi wanashiriki kikamilifu katika upangaji na utekelezaji wa shughuli mbalimbali katika ngazi za msingi na Halmashauri na kwamba mafunzo hayo ni muendelezo wa shughuli wanazozifanya .

Amesema kuwa mfumo huo wa ujifinzaji kieletroniki MUKI umekuwa ukitumika katika kutoa mafunzo mbalimbali  hata hivyo kwa sasa umeboreshwa zaidi kwaajili ya kuwafanya washiriki  waweze kujifunza mahali popote na kuutumia.

 Aidha amewasisitiza Washiriki kuhakikisha kuwa wanatumia vyema fursa hiyo adhimu kwani mafunzo wanayoyapata watakwenda kuyatumia katika shughuli zao za kila siku kwani mfumo huo ni rasmi na unatumika kwaajili ya ushirikishaji wa Wananchi kwenye mipango na shughuli mbalimbali za maendeleo.

Tangazo

  • TANGAZO LA MKUTANO WA BARAZA LA WAHE. MADIWANI May 22, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • WAUGUZI WATAKIWA KUWA WAADILIFU MAHALI PA KAZI

    May 30, 2025
  • WAHE. MADIWANI WAISHUKURU SERIKALI YA AWAMU YA SITA KWA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

    May 30, 2025
  • KILOSA YAJIPANGA KUTATUA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI

    May 28, 2025
  • VITENGO VYA HABARI SERIKALINI VIIMARISHWE KWA KUFANYA MAWASILIANO YA KIMKAKATI

    May 24, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa