• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOSA WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA PEPMIS

Posted on: December 20th, 2023

Mifumo mipya ya kielektroniki ya usimamizi wa utendaji kazi katika utumishi wa umma (PEPMISnaPIPMIS) imeanzishwa ili kumaliza changamoto za mifumo iliyokuwepo ya kiutumishi kama vile OPRAS lakini pia itawawezesha watumishi kujipima utendaji kazi wao wenyewe pamoja na kupata huduma nyingine za kiutumishi kama vile kuomba uhamisho au kuomba mkopo wenyewe kwa njia ya mtandao. 

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Idara ya TEHAMA Serikalini, kutoka Ofisi ya RaisUtumishiBw. Priscus Kiwango wakati akifungua mafunzo Kwa watumishi wa tarafa ya MIkumi wilayani Kilosa yaliyofanyika katika ukumbi wa Chuo Cha Ufundi VETA Mikumi 

Bw. Priscus ameongeza kuwa lengo la serikali kuanzisha mifumo hii ni kujenga uwezo  wa taasisi za Umma kuhusu masuala ya usimamizi wa utendajikazi kwa watumishi na Taasisi za Umma lakini pia mfumo huu utachochea uwajibikaji wa hiari, kuondoa upimaji usiohakisi uhalisia.

Ameongeza kuwa mfumo huo utamwezesha mtumishi kujitathmini utendaji kazi wake Kwa asilimia 70 na kumwezesha kukata rufaa iwapo hatoridhika na alivyotendewa na mkuu wake wa kazi.

Akizungumzia changamoto zaOPRAS na IPCS mkufunzi wa mifumo hiyo Paul Magesa Mashauri amesema kuwa haikuwa na uwezo wa kutofautisha kada  zote bila kujali aina au utofauti wa majukumu anayotekeleza mtumishi  lakini pia mifumo hiyo kutokidhi hali halisi ya utendaji kazi wa watumishi hali iliyoleta hisa za kupendeleana au kuoneana.

Kwa upande wake Hafisa Utumishi wa Halmashauri ya Kilosa Winfred Mhwagila amewataka watumishi kuwajibika kujaza taarifa sahihi kwenye mfumo na kuwataka watumishi ambao hawajajisajili wajisajili Ili kufikia tarehe 01/01/2024 taarifa Kwa watumishi wote zianze kuwekwa kwenye mfumo huo.

Pia amewataka watumishi walioudhuria mafunzo kuwafundisha namna ya kutumia mfumo wale watumishi walio chini yao ambao hawajahudhuria mafunzo.

Mafunzo hayo Kwa wilaya ya Kilosa yamefanyika katika tarafa za Mikumi, Kilosa na Dumila huku watumishi wasimamizi wa kada zote wameudhuria mafunzo hayo.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • KAMATI YA FEDHA, UONGOZI NA MIPANGO YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MRADI WA SHULE YA SEKONDARI MASANZE

    May 20, 2025
  • WATENDAJI NGAZI YA HALMASHAURI WATAKIWA KUWA WAADILIFU

    May 14, 2025
  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa