• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

WATUMISHI WA SERIKALI WAASWA KUTAMBUA MAJUKUMU YAO - JAFFO

Posted on: May 20th, 2019

Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Mh. Seleman Jaffo amewataka watendaji wa serikali kutambua nafasi walizopewa na kutambua wajibu wa kila mmoja na kuufanyia kazi kwani wanalo jukumu la kuwahudumia wananchi.

Jaffo amesema hayo wilayani Kilosa Mei 20 mwaka huu wakati wa ziara yake katika kituo cha afya Mikumi na kusema kuwa pamoja na kutumika katika majukumu yao lakini pia amewataka kuwa na usimamizi wa kutosha katika vifaa vinavyonunuliwa viwe katika ubora unaokusudiwa sambamba na kuhakikisha ujenzi unakamilika kwa wakati.

Aidha ameagiza ujenzi wa kituo hicho uwe umekamilika ifikapo Mei 30 mwaka huu na kwamba tarehe  01/06/219 huduma zianze kutolewa huku akiahidi kuja kutembelea kituo hicho kati ya tarehe 05-12/06/2019 ili kuona huduma  zitakazokuwa zikitolewa kwani lengo la Mheshimiwa Rais wa awamu ya tano ni kuona wananchi wakipata huduma nzuri ikiwemo huduma za kiafya, lakini pia amemuagiza Mganga Mkuu Mkoa kuhakikisha gari la dharura la wagonjwa(ambulance) makao yake makuu yanakuwa katika kituo ili kuwahudumia wananchi wa kawaida wasio na sauti

Pamoja na maagizo hayo Mh Jaffo amepongeza ujenzi wa kituo hicho kwani majengo yake yako vizuri na yanaridhisha yakiwa na ukubwa unaostahiki na kwamba kituo hicho kinapaswa kuwa katika ubora ili kusiwe na hali ya kufanya ukarabati wa mara kwa mara.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Kebwe S. Kebwe amemshukuru Waziri wa TAMISEMI kwa ajili gari la dharura la wagonjwa lililoagizwa kuwepo kwenye kituo hicho, wakati huo huo Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Asajile Mwambambale wamemuahidi Waziri Jaffo kuwa ifikapo Mei 30 kituo hicho kitakuwa kimekamilika na kuanza kazi Juni mosi mwaka huu kama ilivyoagizwa.

Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Kilosa kufanya sensa ya mifugo

    December 29, 2022
  • Kilosa kunufaika na mradi wa BOOST

    December 24, 2022
  • Kilosa yaendelea kutambua juhudi za Serikali kwa Watumishi wa Umma na Wananchi-DED Kilosa

    December 19, 2022
  • -Serikali haitosita kulinda Rasilimali watu kwa maslahi ya Maendeleo ya Taifa- Mh. Mhagama

    December 20, 2022
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737-847-880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa