• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

WAZIRI BASHUNGWA AMTAKA MKANDARASI KUKAMILISHA MADARAJA BARABARA YA KILOSA DUMILA KABLA YA MWEZI MEI

Posted on: February 22nd, 2024

Waziri wa Ujenzi Innocenti Bashungwa amemtaka mkandarasi anayejenga madaraja matatu barabara ya Dumila Kilosa kukamilisha Ujenzi huo kabla ya Aprili 22, 2024 Ili kuwaondolea kadhia ya usafiri watumiaji wa barabara hiyo.

Ameyasema hayo katika mkutano wa hadhara uliofanyika February 22, 2024 katika daraja la Mazinyungu alipotembelea wilayani Kilosa kujionea hali ya miundombinu ilivyo baada ya mafuriko yaliyoyakumba baadhi ya maeneo ya wilaya hiyo na kusababisha uharibifu mkubwa wa barabara na madaraja.

Amesema kuwa tayari serikali imeshamlipa mkandarasi huyo hana budi kukamilisha Ujenzi huo kwa muda waliokubaliana Ili yaanze kutumia,Aidha amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan Kwa kutoa kiasi kikubwa cha fedha Kwa ajili ya Ujenzi wa miundombinu zikiwemo Barabara na madaraja.

Ameongeza kuwa lengo la serikali ya awamu ya sita ni kuufungua Mkoa wa Morogoro Kwa kujenga barabara inayoiunganisha mikoa ya Njombe, Lindi, Morogoro na Tanga kupitia wilaya za Kilombero, Kilosa na Kilindi mkoani Tanga Ili kuwawezesha wananchi hususani wa Wilaya ya Kilosa kufanya biashara kupitia barabara hiyo.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe Adamu Malima amemshukuru waziri Bashungwa Kwa kuitembelea wilaya ya Kilosa na Mkoa mzima Kwa ujumla Ili kujionea hali ya miundombinu ilivyo.

Naye mbunge wa Jimbo la Kilosa Prof. Palamagamba Kabudi amuomba waziri kupitia wizara yake kuwekwa Kwa taa za barabarani kuanzia maeneo ya Njia panda ya Ilonga hadi zilipo Ofisi za mkuu wilaya.

Aidha ameiomba wizara kuleta vifaa vya kupunguza mchanga katika mto Mazinyungu Ili kuongeza kina cha mto huo kwani maji ya mto huo yamekuwa yakisababisha mafuriko hasa kipindi cha mvua kubwa kutokana kina cha mto huo kujaa mchanga.

Kwa upande wa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Mhe Shaka Hamdu Shaka ametoa shukrani zake Kwa serikali Kwa Kuendelea kutekeleza miradi ya maendeleo wilayani humo na kuahidi kuendelea kuisimamia na kuitunza miradi hiyo zikiwemo barabara na madaraja.

 

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa