• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

WAZIRI MKUU AAGIZA KUJENGWA WODI KATIKA VITUO VYA AFYA KILOSA

Posted on: September 18th, 2019

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa kufikia mwezi Disemba mwaka huu iwe imejenga wodi mbili za magonjwa mchanganyiko zisizo na gharama kubwa kwa kinamama na kinababa katika kituo cha Afya Mikumi ili wananchi waweze kupata huduma stahiki badala ya kusafiri kwenda hospitali ya Rufaa mkoani Morogoro.

Majaliwa ametoa maagizo hayo Septemba 17 mwaka huu wakati wa ziara yake ya siku moja ya ambapo pia ametaka kuwepo kwa chumba cha upasuaji ambacho wananchi watapata huduma  zote badala ya kwenda Morogoro kupata huduma kubwa za upasuaji ikiwemo upasuaji kwa ajili ya kinamama wakati wa kujifungua lakini pia ametaka huduma zote muhimu za kitabibu kupatikana katika kituo cha afya cha Mikumi na Malolo ambako ujenzi unaendelea.

Akizungumzia upande wa Hospitali ya Kilosa amesema serikali itaendelea kuimarisha hospitali hiyo huku hospitali za wilaya zikiendelea kujengwa katika wilaya zisizo na hospitali za wilaya mkoani Morogoro ambapo amesema serikali  imeanza kuajiri wataalam wa afya wakiwemo madaktari ili waweze kutoa huduma huku akitoa onyo kwa madaktari kutowaandikia wagonjwa kununua dawa katika maduka ya dawa ya nje ya hospitali kwani serikali ya awamu ya tano imejiimarisha vema katika sekta ya afya kwa kuhakikisha inatoa huduma stahiki.

Sambamba na hayo amewataka watumishi wa Umma kutocheza na fedha za serikali kwani fedha hizo ni kwa ajili ya kuwaletea maendeleo ya wananchi na kwamba fedha hizo ni za moto, hivyo zitumike kwa kadri zilivyopangwa lakini pia ameagiza walimu kutochangisha wazazi michango kiholela na kwamba suala la uchangishaji michango liko chini ya dhamana ya Mkuu wa Wilaya ambaye ndiye msimamizi mkuu.

Aidha ameagiza upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi wa kata ya Ruaha kwa kuchimba kwa visima vifupi vya maji ikiwa ni sehemu ya ufumbuzi wa kero ya maji huku akisisitiza kutimizwa kwa ahadi mbalimbali ikiwemo upatikanaji wa huduma ya maji.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa