• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

WAZIRI MKUU AAGIZA KUJENGWA WODI KATIKA VITUO VYA AFYA KILOSA

Posted on: September 18th, 2019

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa kufikia mwezi Disemba mwaka huu iwe imejenga wodi mbili za magonjwa mchanganyiko zisizo na gharama kubwa kwa kinamama na kinababa katika kituo cha Afya Mikumi ili wananchi waweze kupata huduma stahiki badala ya kusafiri kwenda hospitali ya Rufaa mkoani Morogoro.

Majaliwa ametoa maagizo hayo Septemba 17 mwaka huu wakati wa ziara yake ya siku moja ya ambapo pia ametaka kuwepo kwa chumba cha upasuaji ambacho wananchi watapata huduma  zote badala ya kwenda Morogoro kupata huduma kubwa za upasuaji ikiwemo upasuaji kwa ajili ya kinamama wakati wa kujifungua lakini pia ametaka huduma zote muhimu za kitabibu kupatikana katika kituo cha afya cha Mikumi na Malolo ambako ujenzi unaendelea.

Akizungumzia upande wa Hospitali ya Kilosa amesema serikali itaendelea kuimarisha hospitali hiyo huku hospitali za wilaya zikiendelea kujengwa katika wilaya zisizo na hospitali za wilaya mkoani Morogoro ambapo amesema serikali  imeanza kuajiri wataalam wa afya wakiwemo madaktari ili waweze kutoa huduma huku akitoa onyo kwa madaktari kutowaandikia wagonjwa kununua dawa katika maduka ya dawa ya nje ya hospitali kwani serikali ya awamu ya tano imejiimarisha vema katika sekta ya afya kwa kuhakikisha inatoa huduma stahiki.

Sambamba na hayo amewataka watumishi wa Umma kutocheza na fedha za serikali kwani fedha hizo ni kwa ajili ya kuwaletea maendeleo ya wananchi na kwamba fedha hizo ni za moto, hivyo zitumike kwa kadri zilivyopangwa lakini pia ameagiza walimu kutochangisha wazazi michango kiholela na kwamba suala la uchangishaji michango liko chini ya dhamana ya Mkuu wa Wilaya ambaye ndiye msimamizi mkuu.

Aidha ameagiza upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi wa kata ya Ruaha kwa kuchimba kwa visima vifupi vya maji ikiwa ni sehemu ya ufumbuzi wa kero ya maji huku akisisitiza kutimizwa kwa ahadi mbalimbali ikiwemo upatikanaji wa huduma ya maji.

Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • ZABUNI January 31, 2017
  • SOMA KATIBA ILIYOPENDEKEZWA March 24, 2017
  • UTARATIBU WA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA March 24, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • Program ya Dunia Yangu Bora Yawa Chachu Njema Mashuleni

    August 11, 2022
  • Maonesho ya Nane Nane kuwa Endelevu

    August 08, 2022
  • Fanyeni Maonesho ya Nane Nane kuwa na tija - Mh. Pinda

    August 04, 2022
  • RUWASA, MORUWASA shirikianeni na taasisis nyingine kuibua vyanzo vya maji

    August 02, 2022
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu:

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa