• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

WAZIRI MKUU ARIDHISHWA NA UJENZI RELI YA KISASA

Posted on: May 14th, 2020

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa ameonyesha kuridhishwa kwake na ujenzi wa mradi wa reli ya mwendo kasi hususani ujenzi wa handaki la urefu wa kilometa 1  unaoendelea kujengwawilayani Kilosa ambao kwa sasa umefikia takribani asilimia 83 ya ujenzi huo ili handaki hilo kukamilika.



Majaliwa ameonesha kuridhishwa mara baada ya kutembelea ujenzi wa mradi huo Mei 14 mwaka huu na kusema kuwa katika ziara yake ya kukagua mradi huo toka Dare s salaam hadi Morogoro ameridhishwa na utaalam, kasi na kazi ya ujenzi unaoendelea pamoja na hatua iliyofikiwa



Katika hatua nyingine Waziri Mkuu amewasihi watanzania waliopata kazi katika kampuni ya Yarp Merkez inayojenga reli hiyo kuongeza nguvu ya ujenzi ili kumaliza ujenzi huo mapema iwezekanavyo.

Akizungumzia reli hiyo namna itakavyofanya kazi amesema mradi huo ni mradi wa kimakakati utakaokuza uchumi wa nchi huku akisema kuwa pamoja na uchumi kupanda lakini pia umetatua changamoto ya ajira kwa watanzania ambapo awali vijana wengi walikuwa wakikaa vijiweni lakini kupitia reli hiyo jumla ya vijana 18000 wamepata ajira



Aidha, Waziri Mkuu amesema reli hiyo itakayokuwa ikiendeshwa kwa umeme haitasimama kufanya kazi kwa sababui ya ukosefu wa nishati ya umeme kwa kuwa reri hiyo itaunganishwa na vyanzo vitatu vya uhakika vya umeme  ikiwemo bwawa la mwalimu Nyerere, Kidatu Mtera na umeme wa Kinyerezi unaotokana na gesi.

Amesema endapo vyanzo vyote hivyo umeme wake ukikatika reli itaendelea kufanya kazi kwa kutumia mtambo maalum ambayo itafungwa  kwenye reli yenyewe ikiwa na uwezo wa kutunza umeme kwa dakika 45.



 Akitoa rai kwa watanzania waliopata ajira kwenye mradi huo Majaliwa  amewataka kutumia fursa hiyo kwa kujenga uaminifu na kuepuka dosari za kukosa uaminifu huku akiwataka  kupata ujuzi na kuwa wataalam kwa siku za baadae kwa kuhakikisha wanajituma katika sekta walizopo ili baadae waweze kujiajiri ama kuajiri vijana wengine pamoja na kuomba tenda katika miradi mbalimbali.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa