• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

WENYEVITI NA WATENDAJI WA VIJIJI WAASWA KUSIMAMIA MAZAO YA MISITU- DC

Posted on: July 23rd, 2019

Julai 22 mwaka huu Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Adam Mgoyi amewataka wenyeviti wa vijiji vyote na watendaji wa vijiji vinavyohusika na uvunaji mazao ya misitu kama vile kuni, mbao na mkaa kuwa wasimamizi wazuri wa rasilimali za misitu kwani kumekuwa na uvunaji holela usiozingatia sheria, kanuni na taratibu na kusababisha uharibifu wa mazingira.

Mgoyi amesema hayo katika kikao cha kamati ya uvunaji wa mazao ya misitu ambapo amesema kuwa wavunaji wengi wamekuwa wakivuna chini ya usimamizi mdogo wa wenyeviti wa vijiji na watendaji na kupelekea uhujumu uchumi katika uvunaji mazao ya misitu ambao utapelekea Wilaya ya Kilosa kuwa jangwa.

Aidha amesema kuwa wenyeviti na watendaji wanapaswa kusimamia na kuhakikisha uvunaji unafanyika inavyostahiki ili kulinda misitu kwa ajili ya vizazi vijavyo ambapo amebainisha kuwa upande wa Kaskazini mwa Kilosa hasa kijiji cha Makwambe hali ya uvunaji misitu si nzuri  na kwamba endapo hali ya uvunaji holela ikiendelea vibali vya uvunaji vitasitishwa ili kuepusha hali ya wilaya kuwa jangwa.

Mgoyi katika kikao hicho amewakumbusha wenyeviti wa vijiji na watendaji kuwa na kumbukumbu za shughuli za uvunaji wa mazao ya misitu huku akisisitiza kuwepo kwa daftari la kumbukumbu za uvunaji wa mazao ya misitu jambo litakalosaidia utunzaji kumbukumbu sambamba na watendaji wa idara ya maliasili na TFS kuhakikisha kila mmoja anawajibika katika majukumu yake ya usimamizi na kutekeleza maazimio yanayoamriwa katika vikao.

Aidha katika kikao hicho amekemea vikali uzembe ambao umekuwa ukifanyika wa kutosimamia vema na kutekeleza maazimio yanayotolewa katika kikao kwani maazimio yaliyoazimiwa hayajafanyiwa kazi na kuisababishia hasara serikali ikiwemo kutolipa kodi ama michango stahiki ya mazao ya misitu na kwamba wavunaji wote wenye madeni hawataruhusiwa kuendelea kuvuna hadi watakapomaliza madeni na kuwa hatua stahiki zitachukuliwa kwa wote wasiolipa madeni ikiwemo kutoa matangazo kwa umma ya  kutoruhusiwa kupata kibali eneo lolote kwa ajili ya uvunaji.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa