• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Divisheni
      • Utawala,Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Viwanda,Biashara na Uwekezaji
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Mipango na Uratibu
      • Elimu ya Awali na Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Miundombinu ya Mijini na Vijijini
    • Vitengo
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • TEHAMA na Takwimu
      • Fedha na Uhasibu
      • Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
        • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
      • Usimamizi wa Taka Ngumu na Usafi wa Mazingira
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Jarida la Mtandaoni
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

WIZARA YA UCHUKUZI KUBORESHA SEKTA YA USAFIRISHAJI WA MBOGAMBOGA NA MATUNDA

Posted on: October 2nd, 2024

Imeelezwa kuwa Wizara ya Uchukuzi imefanyia kazi Mpango wa kuhakikisha inawezesha Taasisi zake na Sekta za Usafirishaji kwa ujumla kupata mizigo ya uhakika itakayowezesha Taasisi hizo na Sekta mbalimbali kufanya biashara na kutoa matokeo chanya.

Hayo yameelezwa Oktoba Mosi 2024 na Naibu Waziri wa Uchukuzi Mhe. David Kihenzile kwa niaba ya Mhe. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Doto Biteko katika hafla ya uzinduzi wa mkakati wa upatikanaji wa mizigo ili kuimarisha biashara ya usafirishaji nchini.

Mhe. Kihenzile ameitaka Wizara ya Uchukuzi kusimamia mambo matano ili kuongeza ufanisi wa Mpango huo kuendelea kufanya vizuri na kufikia malengo yake ambapo mambo hayo ni kubainisha mahitaji ya suluhisho la uhakika la usafiri katika njia ya ubaridi kutoka shambani hadi sokoni ili kuzuia uharibifu baada ya kuvuna, kutoa mafunzo kwa Wakulima wadogo kuhusu Kilimo bora na utunzaji wa mazao baada ya kuvuna, kushirikiana na Wizara, Idara na Wakala wa Serikali ili kurahisisha utekelezaji wa suluhisho la usafirishaji kwa njia ya ubaridi, kuunda vikundi vya Wakulima na Wafanyabiashara ili kuongeza tija ya ukusanyaji wa mazao yao na uhakika wa upatikanaji wa masoko  pia kufanya tafiti Zaidi ya hasara baada ya mavuno na hatua za kupunguza changamoto hizo.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania Masanja Kadogosa amesema kuwa Wakulima wa mbogamboga wanatakiwa kuchangamkia fursa hiyo kwani itakuwa ni suluhisho kubwa la kuwapunguzia gharama za usafirishaji wa bidhaa hizo na pia itawasaidia kujipatia kipato.

Aidha kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Mhe. Shaka Hamdu Shaka ameishukuru timu ya utafiti iliyofanya utafiti huo na kusema kuwa  kwa upande wa Kilosa asilimia 82 ya wananchi wanajishughulisha na  kilimo,ambapo  kati yao asilimia 45 wanafanya Kilimo cha Mboga mboga hivyo mpango huo utaleta matokeo chanya.

Tangazo

  • TANGAZO LA KONGAMANO LA VIJANA WILAYANI KILOSA April 04, 2025
  • Tangazo la kuanzishwa Dawati Maalum la kushughulikia Migogoro ya Wakulima na Wafugaji November 13, 2024
  • Tangazo la Dawati la Msaada wa Kisheria November 13, 2024
  • TANGAZO LA BARAZA LA MADIWANI LA RISIMU NA MAPENDEKEZO YA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 February 25, 2025
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAMETAKIWA KUHAMASISHA WANANCHI KUBORESHA TAARIFA ZAO

    May 07, 2025
  • RC MALIMA AWATAKA WAAJIRI MOROGORO KUTATUA CHANGAMOTO ZA WATUMISHI WAO

    May 01, 2025
  • WALIMU WAPYA 74 WILAYANI KILOSA WAPEWA MAFUNZO ELEKEZI KUHUSU MAADILI NA HAKI ZA UTUMISHI WA UMMA

    April 29, 2025
  • KILOSA YABORESHA USIMAMIZI NA UFATILIAJI WA MIKOPO YA 10% KWA UNUNUZI WA GARI JIPYA

    April 29, 2025
  • Angalia zote

Video

RAIS SAMIA ATENGA BILIONI 7.2 KUENDELEZA BONDE LA RUHEMBE
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • e-Mrejesho
  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA PLANREP
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI

Kurasa za Mfanano

  • e-Mrejesho
  • Mkoa Morogoro
  • Tamisemi
  • Utumishi
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737847880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa