• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Dawati la Malalamiko |
KILOSA DISTRICT COUNCIL
KILOSA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Idara
      • Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Mipango
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
      • Mifungo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ardhi na Maliasili
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Nyuki
    • Muundo wa Halmashauri
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba Mbalimbali
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi Itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Miongozo
    • Ripoti
  • Kituo cha Habari
    • Habari
    • Tangazo
    • Maktaba
    • Hotuba
    • Vyombo vya Habari
    • Video

ZIARA YA KAMATI YA SIASA KUTEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: August 25th, 2023

Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilayani Kilosa ikiongozwa na Mwenyekiti wake Amer Mbaraka , imefanya ziara ya kutembelea miradi ya maendeleo ya Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa pamoja na Taasisi zilizopo ndani ya Wilaya kwa lengo la kuona utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi kwa kipindi cha miezi sita, Januari –Juni 2023.

Miradi  iliyotembelewa ni Pamoja na  ujenzi wa barabara  ya kilometa 16  kutoka Mvumi mpaka Makwambe,Ujenzi wa vyumba 6 vya madarasa katika shule ya Sekondari Mkundi iliyopo kata ya Dumila,Mradi wa jengo pacha la Mama na Mtoto na Maabara  katika kituo cha Afya Magubike.

Sambamba na hayo Kamati hiyo ya Siasa imetembelea Mradi wa REA kata ya Mabula, Mradi wa REA kata ya Tindiga ,Ujenzi wa vyumba 8 vya Madarasa Shule ya Sekondari  Kitange II kata ya Mtumbatu,Mradi wa maji kata ya Kidodi, Mradi wa maji pamoja  na Soko lililoungua kata ya Ruaha,Mradi wa Daraja kata ya Ruhembe,na Mradi wa Maji kata ya Malolo

Akihitimisha Ziara hiyo  Mwenyekiti huyo wa CCM Wilaya amesema kuwa Miradi yenye changamoto ifanyiwe kazi ili ikamilike kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa ili Wananchi wapate huduma stahiki.

Aidha Kamati imeipongeza Serikali chini ya Rais Dokta Samia Suluhu Hassan kwa kuleta miradi mingi ya maendeleo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa ili kuboresha utoaji  huduma kwa Wananchi.

Tangazo

  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI October 11, 2021
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2023 KWA SHULE ZA SEKONDARI HALMASHAURI YA WILAYA YA KILOSA July 14, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI September 16, 2023
  • ZABUNI January 31, 2017
  • Angalia zote

Habari za sasa

  • KILOSA KUDUMISHA USAFI NA UHIFADHI WA MAZINGIRA

    September 20, 2023
  • TIMU YA UKAGUZI MKOA YATEMBELEA MIRADI YA BOOST KILOSA

    September 20, 2023
  • MAPATO YA HALMASHAURI YAONGEZEKA KUTOKA ASILIMIA 94 MPAKA ASILIMIA 98.91

    September 01, 2023
  • Walimu watakiwa kuendelea kuzifahamu huduma za kibenki

    August 29, 2023
  • Angalia zote

Video

HIFADHII YA WANYAMA MIKUMI
Video zaidi

Kurasa za Haraka

  • CHF ILIYOBORESHWA
  • MKATABA WA HUDUMA KWA MTEJA
  • MFUMO WA FFARS
  • MFUMO WA KIBALI KUSAFIRI NJE YA NCHI
  • MFUMO WA PLANREP

Kurasa za Mfanano

  • Tamisemi
  • Utumishi
  • NECTA
  • Jamhuri ya Muungano Tanzania
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Mkoa Morogoro

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Eneo la Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kilosa

    Sanduku la posta: S.L.P 65 Kilosa

    Simu: 023 2623093

    Simu: 0737-847-880

    Barua Pepe: ded@kilosadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hatimiliki imehifadhiwa ©2017 Halmashauri ya Wilaya Kilosa