Posted on: April 26th, 2025
Katika kuuenzi Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa imeadhimisha siku hiyo kwa kupanda Miti 158 katika shule ya Msingi Lamlilo iliyopo kata ya Magomeni.
...
Posted on: April 24th, 2025
Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa imepokea miche 16,000 ya karafuu kutoka katika Taasisi ya TAHA na kuisambaza kwa baadhi ya shule ambapo shule hizo zitaanza kuvuna mazao hayo na kupata fedha zitakazosa...
Posted on: April 19th, 2025
Wilaya ya Kilosa leo 19 Aprili 2025 imekabidhi Mwenge wa Uhuru kwa Wilayani Gairo, baada ya kukamilisha ziara ya siku moja,ya kuzindua, na kuweka mawe ya msingi katika miradi saba ya maendeleo yenye t...